Monday, January 12, 2009

Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar akiwasili kwenye uwanja wa michezo wa Gombani ulioko Chake Chake Pemba - Zanzibar katika sherehe za maadhimisho ya miaka 45 ya mapinduzi Zanzibar.

Ndejembi Michael.

1 comment:

Anonymous said...

Zanzibar kumbe sio mchezo !!