Thursday, January 29, 2009

Mmoja wa waratibu wa mambo ya uongozi na uhusiano toka Vodacom Mwamvua Mlangwa akizungumza na baadhi ya makamanda wa jeshi la polisi walipotembelea makao makuu ya Vodacom jijini Dar es salaam kujifunza mambo kadhaa ya uongozi. maafisa hao wako katika kozi yao inayoendelea kwenye bwalo la maafisa ya jeshi hilo jijini Dar es salaam.

Msomaji,
Dar es salaam.

No comments: