Sunday, August 22, 2010

CCM yaanza kampeni kwa kishindo



Rekodi iliyowekwa na Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete katika kutimiza ahadi zake, ni kielelezo tosha cha kukichagua chama hicho kuendelea kuiongoza nchi. Hatua hiyo ndiyo inafanya mgombea urais wa chama hicho, Kikwete aamini, kwamba CCM safari hii itashinda kwa kishindo zaidi, katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 31, mwaka huu. Akizindua rasmi kampeni za uchaguzi za CCM katika viwanja vya Jangwani Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alisema: “Hatuwaangusha … tumetekeleza Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2005 kwa kiwango kikubwa sana, yapo machache ambayo hatujayakamilisha na ambayo tutayachukua ili kuyakamilisha katika Ilani ya 2010”. Alisema CCM ni chama kinachoaminika na Watanzania wengi kutokana na uimara na ubora wa sera, ubora wa muundo na ubora wa wagombea wake, na kuwataka wananchi kuendelea kukiamini kwa kuchagua wagombea wake katika uchaguzi mkuu ujao. “Vipo vyama saba ambavyo vimesimamisha mgombea kwa nafasi ya Rais wa Jamhuri, lakini mgombea wa CCM ni bora zaidi. Tumejaribu kuangalia sera za vyama vyote 13 vyenye usajili wa kudumu, tukagundua kuwa wanachukua sera zetu na kuzibadili kidogo tu kuzifanya kuwa zao. “Si jambo baya kuiga kitu kizuri kutoka CCM, lakini ni kwa nini wananchi wachague kitu fotokopi wakati orijino kipo?” alihoji Rais Kikwete. Alisema wakati CCM ilipoingia madarakani ilitoa ahadi ya kutetea na kulinda Muungano, kuboresha ulinzi na usalama wa nchi, kuimarisha utawala bora ili kuhakikisha sheria na haki za binadamu vinafuatwa. “Kuboresha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma, kuimarisha mihimili ya Dola ya Bunge, Mahakama na Utawala, kulinda uhuru wa kuabudu na wa vyombo vya habari, ahadi ambazo alisema zimetekelezwa kwa mafanikio makubwa. Kuhusu amani na utulivu, mgombea huyo alisema Watanzania wameendelea kuwa wamoja bila kubaguana kwa misingi ya dini, ukabila wala rangi na kwamba juhudi za kuwatenganisha zimegonga mwamba na kamwe hazitafanikiwa chini ya utawala wa CCM. “Uhalifu na ujambazi vimepungua sana, wakati tulipoingia madarakani, wimbi la ujambazi lilikuwa kubwa, lakini kutokana na kazi nzuri iliyofanywa na Polisi, ujambazi umepungua ingawa yapo matukio machache ya hapa na pale yanayojitokeza ambayo hata hivyo tunakabiliana nayo.” Alisema mapato ya Serikali yameimarika kutoka Sh bilioni 117.5 kwa mwezi mwaka 2005 hadi Sh bilioni 390 kwa mwezi hivi sasa, hatua ambayo alisema imepunguza utegemezi kutoka asilimia 42 hadi asilimia 28 na pesa hizo kwa kiasi kikubwa zinawafikia walengwa. Kuhusu rushwa, alisema Serikali ya CCM katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, imekuwa na dhamira ya dhati ya kukabiliana na vitendo vya rushwa kwa kuiongeza meno zaidi-Sheria ya Kupambana na Rushwa na kutungwa kwa Sheria ya Gharama za Uchaguzi na kuiboresha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). “Watu wote ni mashahidi namna watu tena wengine mashuhuri walivyofikishwa mahakamani, kutokana na kuhusishwa na rushwa. Tufanye nini zaidi ya hapa?” alihoji Kikwete. Rais Kikwete alisema pia Serikali ya CCM imeboresha maslahi ya wafanyakazi kwa kupandisha mishahara ya watumishi. Alisema Serikali ilikuwa katika mgogoro na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) kutokana na kutaka malipo ya juu ya mishahara ingawa suala hilo limepatiwa ufumbuzi. “Kuhusu hili la mishahara si kama tunapuuza, tulichokubaliana nao ni kwamba tutalipa kwa kiwango tunachoweza na tusichoweza hatutalipa. Tumejitahidi pia kuboresha huduma nyingine muhimu kama maji, elimu, miundombinu, kilimo na afya. Tunaomba Watanzania watupigie kura katika uchaguzi mkuu ujao,” alimaliza Rais Kikwete. Awali kabla ya Rais Kikwete kuhutubia Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba alimkabidhi Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume, Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kitabu cha Mwelekeo wa Sera za CCM ambavyo baadaye Rais Karume alimkabidhi mgombea, Rais Kikwete. Rais Karume, Makamba na mgombea mwenza wa urais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, walihutubia hadhira hiyo na kuwataka wananchi kuendelea kuichagua CCM. Wana-CCM walianza kuwasili katika viwanja vya Jangwani mapema asubuhi na hadi saa tano viwanja hivyo vilikuwa vimefurika umati mkubwa wa watu. Wana CCM waliitafsiri hali hiyo kuwa ni ishara na nyota njema kwao kuibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Kabla ya viongozi kuanza kutoa hotuba, bendi na vikundi mbalimbali vya burudani karibu vyote maarufu vilitoa burudani katika hadhara hiyo.

Tuesday, August 17, 2010

Obama salutes Kikwete over Zanzibar


President, Barack Obama has saluted his Tanzanian counterpart, Jakaya Kikwete on the way he has been handling the reconciliation process in Zanzibar. In his special message delivered to President Kikwete by the US Ambassador in Tanzania, Mr Alfonso E. Lenhardt in Dar es Salaam on Tuesday, the US president said that President Kikwete’s efforts culminated in the successful holding of the referendum on the Government of National Unity (GNU) in Zanzibar. “On behalf of the American people, I am congratulating you personally, Zanzibar leaders and the people as well as all Tanzanians for holding a peaceful referendum on the formation of a GNU held on July 31”, President Obama said in the message. He added that President Kikwete was a man who lived by his word, recalling their talks at the White House in the US on May 21, last year, when he (Kikwete) expressed his desire for reconciliation among the warring Zanzibar politicians. “It's my pleasure indeed that in a very short period of time, your able leadership, the resolve by the Zanzibar Electoral Commission (ZEC), non-governmental organizations, religious institutions and political parties have all helped to make a notable step in bringing about lasting peace which was demonstrated in the referendum”, he said. During their talks at the White House, President Kikwete promised his counterpart that his government would deploy every effort towards ending the political tension in Zanzibar peacefully. However, President Obama said there are still challenges as the general elections in October approach. But he said he was optimistic about the government’s desire to elect their leaders peacefully. “Through your visionary leadership, I can see a ray of hope and I am hopeful we will continue working together for the good of our great countries,” President Obama said in the message to President Kikwete.

Dr Shein calls for unity among CCM members


CCM’s presidential candidate for Zanzibar, Dr Ali Mohamed Shein, has called on party members in the islands to unite in efforts to end rifts ahead of October 31 general elections.
Dr Shein said that unity within the party was crucial despite the fact that CCM victory in the elections was ‘certain.’ Addressing party supporters and members, Dr Shein asked them to support him and abandon conflicting groups for the interest of the party. “It is obvious that everyone has own preference for councillorship, House of Representatives, Union Member of the Parliament and Zanzibar presidency. “Fortunately, the process to choose our candidates is over, let us now unite with the desire to win the next elections,” Dr Shein told the gathering at Bwawani Hotel in the Stone Town. Dr Shein who is expected to pick nomination forms at the Zanzibar Electoral Commission (ZEC) today, said he was a person of few words but a committed person who shows his competency by practice. He warned he would not hesitate to fire any leader in his government who puts personal interest first. “I am not a person who speaks a lot. I am a man of actions. I am ready to serve Zanzibaris to their expectations as per the party manifesto which is ready and will be made public during campaign time,” said Dr Shein amid cheers from the gathering. “I am disturbed with news that some houses have been damaged by home made bombs, people are beaten or live in fear. Let us put aside our differences which emerged during the nomination period and work as a team for CCM’s victory,” he said. Several ministers from both union and Zanzibar governments attended the meeting.

Sunday, August 15, 2010

Endorsed CCM Paliamentary Candidates

Here is the whole list of the names of parliamentary aspirants endorsed by the CCM National Executive Committee:

ARUSHA
i. Arusha: Dr. Batilda BURIANIii. Arumeru East: Jeremiah SUMARIiii. Arumeru West: Goodluck Ole MEDEYEiv. Karatu: Dr. Wilbald LORRIv. Longido: Michael LAIZERvi. Monduli: Edward LOWASSAvii. Ngorongoro: Saning’o Ole TELELE
IRINGA
i. Iringa Urban Monica MBEGAii. Isimani: William LUKUVIiii. Kalenga: William MGIMWAiv. Kilolo: Prof. Peter MSOLLAv. Ludewa: Deo FILIKUNJOMBEvi. Makete: Dr. Binilith MAHENGEvii. Mufindi North: Mohamed MGIMWAviii. Mufindi South: Menrad KIGOLAix. Njombe North: Deo SANGA (Jah People)x. Njombe South: Anne MAKINDAxi. Njombe West: Gerson LWENGE
KAGERA
i. Nkenge: Assumpter MSHAMAii. Bukoba Urban: Khamis KAGASHEKIiii. Bukoba Rural: Jasson RWEIKIZAiv. Muleba North: Charles MWIJAGEv. Muleba South: Anna TIBAIJUKA vi. Chato: John MAGUFULIvii. Kyerwa: Eustace KATAGIRAviii. Karagwe: Gosbert BLANDESix. Biharamulo: Oscar MUKASAx. Ngara: Deogratias NTUKAMAZINA
KIGOMA
i. Kigoma Urban: Peter SERUKAMBAii. Kigoma South: Gulam KIFUiii. Kasulu Urban: Neka NEKAiv. Kasulu Rural: Daniel NSANZUGWANKOv. Manyovu: Albert NTABALIBAvi. Buyungu: Christopher CHIZAvii. Muhambwe: Jamal TAMIMUviii. Kigoma North: Rabinson LEMBO
KILIMANJARO
i. Moshi Urban: Justin SALAKANAii. Moshi Rural: Dr. Cyril CHAMIiii. Rombo: Basil MRAMBAiv. Same East: Anne MALECELAv. Same West: David DAVIDvi. Hai: Fuya KIMBITAvii. Vunjo: Chrispin MEELAviii. Mwanga: Prof. Jumanne MAGHEMBEix. Siha: Aggrey MWANRI
MANYARA
i. Babati Urban: Kisyeri CHAMBIRIii. Babati Rural: Jitu SONIiii. Hanang: Dr. Mary NAGUiv. Kiteto: Benedict Ole NANGOROv. Mbulu: Philip MARMOvi. Simanjiro: Christopher Ole SENDEKA
MARA
i. Musoma Urban: Vedasto MATHAYO Manyinyiii. Musoma Rural: Nimrod MKONOiii. Mwibara: Alphaxard LUGOLAiv. Bunda: Stephene WASSIRAv. Rorya: Lameck AIROvi. Tarime: Nyambari NYANGWINEvii. Serengeti: Dr. Stephene KEBWE
MBEYA
i. Mbeya Urban: Benson MPESYAii. Mbeya Rural: Luckson MWANJALAiii. Kyela: Dr. Harrison MWAKYEMBEiv. Mbarali: Dickson KILUFIv. Lupa: Victor MWAMBALASWAvi. Songwe: Philipo MULUGOvii. Rungwe East: Prof. Mark MWANDOSYAviii. Rungwe West Prof. David MWAKYUSAix. Ileje: Aliko KIBONAx. Mbozi Mashariki: Godfrey ZAMBIxi. Mbozi West: Dr. Luka SIAME
MOROGORO
i. Morogoro Urban: Aziz ABOODii. Morogoro South East: Dr. Lucy NKYAiii. Morogoro South: Innocent KALOGERISiv. Mvomero: Amos MAKALAv. Ulanga East: Celina KOMBANIvi. Ulanga West: Haji MPONDAvii. Gairo: Ahmed SHABIBYviii. Kilosa: Mustafa MKULOix. Mikumi: Abdulsalaam SULEIMANx. Kilombero: Abdul MTEKETA
MTWARA
i. Mtwara Urban: Murji MOHAMEDii. Mtwara Rural: Hawa GHASIAiii. Masasi: Mariam KASEMBEiv. Lulindi: Jerome BWANAUSIv. Tandahimba: Juma NJWAYOvi. Newala: George MKUCHIKAvii. Nanyumbu: Dunstan MKAPA
MWANZA
i. Ilemela: Anthony DIALLOii. Nyamagana: Laurence MASHAiii. Busega: Dr. Kamani MLENGENYAiv. Magu: Dr. Festus Limbav. Kwimba: Sharif MANSOORvi. Sumve: Richard NDASAvii. Geita: Donald MAXviii. Nyang’wale: Hussein AMARix. Sengerema: William NGELEJAx. Buchosa: Charles TIZEBAxi. Misungwi: Charles KITWANGAxii. Ukerewe: Getrude MONGELA.
RUVUMA
i. Songea Urban: Emmanuel NCHIMBIii. Peramiho: Jenister MHAGAMAiii. Namtumbo: Vita KAWAWAiv. Tunduru South: Mtutura MTUTURAv. Tunduru North: Ramo MAKANIvi. Mbinga West: Capt. John KOMBAvii. Mbinga East: Gaudence KAYOMBO
TABORA
i. Tabora Urban: Ismail RAGEii. Tabora North: Sumar MAMLOiii. Urambo East: Samuel SITTAiv. Urambo West: Prof. Juma KAPUYAv. Igunga: Rostam AZIZvi. Sikonge: Said NKUMBAvii. Igalula: Athuman MFUTAKAMBA viii. Bukene: Seleman ZEDIix. Nzega: Hamis KIGWANGALA
TANGA
i. Tanga: Omari Rashid NUNDUii. Kilindi: Beatrice Matumbo SHELUKINDOiii. Muheza: Herbert James MNTANGIiv. Mkinga: Danstan Luka KITANDULAv. Pangani: Salehe Ahmed PAMBAvi. Lushot: Henry Daffa SHEKIFU vii. Bumbuli: January MAKAMBAviii. Korogwe Urban: Yusuph A. NASRI ix. Mlalo: Brig. Gen. Hassan Athuman NGWILIZIx. Korogwe Rural: Stephen NGONYANIxxi. Handeni: Dr. Abdalah Omari KIGODA
DAR ES SALAAM
i. Kinondoni: Idd Mohamed AZZANii. Ubungo: Dr Hawa Mgonja NG’HUMBIiii. Kawe: Angella Charles KIZIGHAiv. Ilala: Mussa Azzan ZUNGUv. Ukonga: Eugen Elishiringa MWAIPOSAvi. Segerea: Dr Milton Makongoro MAHANGAvii. Temeke: Mtemvu Abbas ZUBERIviii. Kigamboni: Dr Ndugulile FAUSTINE
LINDI
i. Ruangwa: Kassim Majaliwa MAJALIWA ii. Nachingwea: Mathias Meinrad CHIKAWE iii. Kilwa North: Muraza Ali MANGUNGU iv. Lindi South: Madabida Ramadhani RASHID v. Liwale: Faith Mohamed MITAMBOvi. Lindi Urban: Mohamed ABDULAZIZI vii. Mchinga: Saidi M. MTANDAviii. Mtama: Benard Kamilius MEMBE
COAST REGION
i. Bagamoyo: Dr Shukuru J. KAWAMBWAii. Chalinze: Saidi Athuman BWANAMDOGOiii. Kisarawe: Seleman Saidi JAFOiv. Kibiti: Abdul MAROBWAv. Kibaha Rural: Mahamud Abuu JUMAAvi. Kibaha Urban: Silvester KOKAvii. Mkuranga: Adam Kighoma MALIMAviii. Rufiji: Dr Seif Seleman RASHIDix. Mafia: Abdulkarim E. SHAH
RUKWA
i. Kwela: Malocha Aloyce IGNACEii. Kalambo: Kandege Sinkamba JOSEPHATiii. Nkasi North: Ally Mohamed KESSY iv. Nkasi South: Deusderius MIPATA v. Mlele: Mizengo Kayanza Peter PINDAvi. Mpanda Central Urban: Sebastian Simon KAPUFI vii. Sumbawanga Urban: Aeshi Khalfan HILALYviii. Mpanda Rural: Moshi KAKOSO
SHINYANGA
i. Shinyanga Urban: Steven Julius MASELEii. Kahama: Nchambi Seleman MASOUDiii. Msalala: James Daudi LEMBELIiv. Solwa: Ezekiel MAIGEv. Bukombe: Ahmed Ally SALUM vi. Mbogwe: Emanuel Jumanne LUHAHULA vii. Bariadi East: Masele Agustino MANYANDA viii. Bariadi West: Makondo Martine KAUNDAix. Maswa East: Andrewx. Maswa West: Bunyongoli Peter EDWARDxi. Meatu: Kisena Robert SIMONxii. Kisesa: Salum Khamis SALUM, and Joelson Luhaga MPINA
SINGIDA
i. Singida Urban: Mohamed Gulam DEWJI ii. Manyoni East: Mr John CHILIGATI iii. Manyoni West: John Paul LWANJIiv. Iramba West: Mwigulu Lameck Nchemba MATELUv. Iramba East: Salome David MWAMBUvi. Singida North: Lazaro Samwel NYALANDUvii. Singida West: Alhaj Mohamed MISANGA viii. Singida East: Jonathan Andrew NJAU
ZANZIBAR
North Pemba
i. Konde: Salum Nafoo Omarii. Mgogoni: Mselem Rashid Mselemiii. Micheweni: Khamis Juma Omariv. Tumbe: Rashid Abdallah Khamisv. Wete: Ali Rashid Alivi. Mtambwe: Khamis Seif Alivii. Kojani: Hafidh Said Mohammedviii. Ole: Masoud Ali Mohamed ix. Gando: Haji Faki Juma
Urban West
i. Mtoni: Ussi Ame PANDU ii. Mfenesini: Nasib Suleiman OMARiii. Kiembesamaki: Waride Bakari JABUiv. Dole: Sylvester Massele MABUMBAv. Magogoni: Issa Abeid MUSSA vi. Bububu: Juma Sururu JUMA vii. Dimani: Abdallah Sheria AME viii. Mwanakwerekwe: Haji Juma SEWEREJIix. Fuoni: Said Mussa ZUBEIR x. Chumbuni: Perera Ame SILIMA xi. Kwahani: Dr Hussein Ali MWINYIxi. Mpendae: Salum Hassan ABDALLAH Turkeyxii. Stone Town: Nassor Juma MUGHEIRY xiii. Magomeni: Mohamed Amour CHOMBOxiv. Kikwajuni: Hamad Yussuf MASAUNI xv. Kwamtipura: Kheir Ali KHAMIS xvi. Amani: Mussa Hassan MUSSA xvii. Rahaleo: Abdallah Juma ABDALLAH xviii. Jang'ombe: Hussein Mussa MZEE
Unguja Northi.
Chaani: Ali Juma Haji[Chepe]ii. Matemwe: Kheir Khatib Ameiriii. Mkwajuni: Jaddy Simai Jaddyiv. Nungwi: Ame Pandu Ame,v. Tumbatu: Juma Othman Alivi. Bumbwini: Ramadhan Haji Salehvii. Donge: Sadifa Juma Khamisviii. Kitope: Ambassador Seif Ali Iddi
Pemba South
i. Chake Chake: Hamad Bakar Aliii. Chonga: Issa Ali Jumaiii. Wawi: Daudi Khamis Jumaiv. Ziwani: Juma Ali Jumav. Mkoani: Issa Mohamed Salumvi. Mkanyageni: Prof. Makame Mnyaa Mbarawavii. Chambani: Mohamed Abrahman Mwinyiviii. Mtambile: Yakoub Mohamed Shokaix. Kiwani: Rashid Abdallah Rashid
Unguja Southi.
Makunduchi: Samia Suluhu Hassaniii. Muyuni: Mahadhi Juma Maalimiii. Koani: Amina Andrew Clementiv. Uzini: Mohamed Seif Khatibv. Chwaka: Yahya Kassim IssaCandidates for the

Zanzibar House of Representatives:
Unguja North
i. Chaani: Ussi Jecha SIMANI i. Matemwe: Abdi Mossi KOMBOii. Mkwajuni: Mbarouk Wadi MUSSSA [Mtando]iii. Nungwi: Mussa Ame SILIMAiv. Tumbatu: Khaji Omar KHERI v. Bumbwini: Mlinda Mabrouk JUMAvi. Donge: Ali Juma SHAMHUNAvii. Kitope: Makame Mshimba MBAROUK
Pemba South
i. Chake Chake: Suleiman Sarhan SAIDii. chonga: Omar Khamis JUMA ii. Wawi: Hamad Abdallah RASHIDiii. ziwani: Mohamed Kombo JUMAiv. Mkoani: Abdallah Abbas OMAR v. Mkanyageni: Masoud M. ABDALLAHvi. Chambani: Bahati Khamis KOMBOvii. Mtambile: Mohamed Mgaza JECHAviii. Kiwani: Mussa Foum Mussa
Unguja South
i. Makunduchi: Haroun Ali SULEIMANii. Muyuni: Jaku Hashim AYOUBiii. Koani: Mussa ali HASSAN iv. Uzini: Mussa Khamis SILIMAv. Chwaka: Issa Haji USSI Gavu
Urban West
i. Mfenesini: Ali Abdallah ALIi. Mtoni: Khamis Jabir MAKAME ii. Kiembe Samaki: Mansoor Yussuf HIMIDIiii. Dole: Shawana Bukheti HASSAN iv. Magogoni: Asha Mohamed HILALIv. Bububu: Salum Amour MTONDOO vi. Dimani: Mwinyihaji M. MwWADINIvii. Mwanakwerekwe: Shamsi Vuai Nahodha viii. Fuoni: Thuwayba E. KISASIix. Chumbani: Machano Othman SAIDx. Kwahani: Ali Salum HAJIxi. Mpendae: Mohamed Said M. DIMWAxii. Mkongwe: Simai Mohamed SAIDxiii. Magomeni: Salmin Awadh SALMIN xiv. Kikwajuni: Mahmoud M. MUSSAxv. Kwamtipura: Hamza Hassan JUMA xvi. Amani: Fatma Mbarouk SAIDxvii. Rahaleo: Nassor Salum Alixviii. Jang'ombe: Suleiman Othman Nyanga
North Pemba
i. Konde: Ramadhan Omar AHMEDi. Mgogoni: Ismail Amour ISMAILii. Micheweni: Chumu Kombo KHAMISiii. Tumbe: Amour Khamis MBAROUKiv. Wete: Siasa Khamis MELEK v. Mtambwe: Mauwa Mbarouk SAIDvi. Kojani: Makame Said JUMAvii. Ole: Badria Ramadhan MOHAMEDviii. Gando: Suleiman Khamis MAKAME.

Monday, August 2, 2010

KIKWETE ACHUKUA FOMU ZA URAIS


Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete na mgombea mwenza Dr. Gharib Billal wakiinua fomu za uteuzi kwa wana CCM na wananchi waliofika kwenye ofisi ya Tume ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam mara baada ya kuchukua fomu hizo jana.