Monday, August 2, 2010

KIKWETE ACHUKUA FOMU ZA URAIS


Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete na mgombea mwenza Dr. Gharib Billal wakiinua fomu za uteuzi kwa wana CCM na wananchi waliofika kwenye ofisi ya Tume ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam mara baada ya kuchukua fomu hizo jana.

No comments: