Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume akipiga kura yake katika kituo cha kupigia kura cha skuli ya Kiembesamaki, ikiwa ni zoezi la kura ya maoni ya Uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.
Saturday, July 31, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment