Monday, November 30, 2009

President Kikwete Visits Cuba

President Jakaya Mrisho Kikwete will begin a four-day official visit to Cuba on Monday and will meet his Cuban counterpart Raul Castro.

The visitor will place a wreath at the monument of Cuban National Hero Jose Marti in Plaza de la Revolucion during his stay, which will last until Thursday.

Kikwete, 59, was Minister of Foreign Affairs and International Cooperation for ten years and was elected President in 2005.

He is economist and Academy military and had party responsibilities and during his political training he was linked to Tanzanian leader Julius Nyerere.

He is an active member and chairman of the ruling Chama Cha Mapinduzi, according to the biography published by CCM-Marekani

Msomaji
Havana
Waziri wa Uvuvi na Mifugo Dr John Pombe Magufuri akipongezana na Dr John Stanslaus Nduguru amabaye ni Mkurugenzi wa idara ya huduma ya ufundi katika Wizara ya Miundo mbinu baada ya kuhitimu Phd katika mahafali yaliyofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Msomaji
Dar es salaam

MAMA JAKAYA AKIWA TRNIDAD & TOBAGO !!

Mama Salma Kikwete akikaribishwa kwa kukumbatiwa na Mke wa Waziri wa Trinidad na Tobago, Seneta Hazel Manning wakati Mama Kikwete alipowasili kwenye Kituo cha Kidiplomasia mjini Port of Spain kuhudhuria Kongamano la Wajasiriamali lililoandaliwa nchini humo, Jumamosi, Novemba 28, 2009, na Seneta huyo kama sehemu ya shughuli za wake wa wakuu wa Serikali wanaohudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuia ya Madola.
Msomaji

Mizengo Kayanza Peter Pinda warns Chinese firm for delaying road project

Prime Minister Mizengo Pinda has threatened to take action against a Chinese company building the Arusha-Namanga road if it fails to complete its work within the agreed time.
Pinda who is in Arusha for a three-day official tour gave the warning on Saturday after he inspected the construction work.

“Chinese people are our friends, but we won’t allow laxity. We want the road to be completed within the agreed time”, he said.

The tarmac road linking Tanzania and Kenya is 104.4 kilometres long and 11 metres wide as required by international standards.

Construction started in July this year and is expected to be completed within three years, but todate, the Chinese company has done little, claiming that it has had to order some construction materials from China, and has also failed to find locally qualified engineers.

However, the resident engineer pledged to the prime minister that the company will speed up the construction process to ensure that work is completed within the set time. The Premier promised to visit the road again in January next year.

Msomaji
Arusha

Sunday, November 29, 2009

JK ALIPOKUTANA NA WAPIGANIA HAKI YA MABADIRIKO YA KISIASA NCHNI JAMAICA

Rais Jakaya Kikwete alipokutana na wapigania haki ya kisisa nchini Jamaica katika ziara yake ya siku tatu nchini humo iliyomalizika siku ya jumanne.

Saturday, November 28, 2009

Cuba seeks Dar's help to have citizens released from us jails

CCM vice-chairman (Tanzania Mainland) Pius Msekwa exchanges documents with Cuban ambassador Ernesto Gomez Diaz after signing a cooperation agreement between CCM and the Communist Party of Cuba in Dar es Salaam yesterday

The government of Cuba yesterday appealed to Tanzania to support its decision to pressurize the United States to free five Cuban nationals currently being held in US jails.
Speaking during the signing of a five-year cooperation agreement between Communist Party of Cuba and Chama Cha Mapinduzi in Dar es Salaam yesterday, the Cuban ambassador to Tanzania, Mr Ernesto Gomez Diaz, asked CCM and the Government of Tanzania to join hands in efforts the have five Cuban heroes set free.
Mr Diaz said the five heroes who were fighting against terrorism, have for the past 11 years been unfairly held and subjected to torture in American jails.
"I kindly ask CCM and Tanzania to join the international movement to free the captives ... they are symbols of our determination to defend with dignity our freedom and independence," said Mr Diaz.
He said in this movement, Cuba needs support from its Tanzanian brothers and sisters. The Cuban ambassador also expressed his sincere gratitude to the Government of Tanzania for support it has given, especially in their fight against United States injustice acts on the Cubans.
"We take this opportunity to thank the solidarity and support we have always received from Tanzania in our fight against criminal and genocide blockade imposed by the United States against our people," he added. On his part, the CCM deputy chairman (Mainland), Mr Pius Msekwa, promised to implement the agreement reached between the two parties for the betterment of the people of Cuba and Tanzania.
"We have enjoyed close cooperation between our parties for many years since the leadership of Mwalimu Julius Nyerere, and though the cooperation, we have been able to fight against colonialism and for freedom for our countries," said Mr Msekwa. He said:
"In this agreement, we will exchange ideas and delegations... this is a normal tradition for political parties like ours to have such agreements." In the agreement, CCM and CPC will see both parties exchange experiences, delegations and information meant to strengthen them.
The signing of the agreement was also an occasion to remember the over 2,000 Cuban voluntary soldiers who lost their lives in the African soil, helping Africans to fight against colonialism.
The CPC was founded in 1925 by the Moscow-trained members of the Third International. In 1940s and early 1950s, Cuba was led by a Fulgencio Batista who was overthrown by Fidel Castrol in 1960.
The government of Cuba yesterday appealed to Tanzania to support its decision to pressurize the United States to free five Cuban nationals currently being held in US jails. Speaking during the signing of a five-year cooperation agreement between Communist Party of Cuba and Chama Cha Mapinduzi in Dar es Salaam yesterday, the Cuban ambassador to Tanzania, Mr Ernesto Gomez Diaz, asked CCM and the Government of Tanzania to join hands in efforts the have five Cuban heroes set free.
Mr Diaz said the five heroes who were fighting against terrorism, have for the past 11 years been unfairly held and subjected to torture in American jails. "I kindly ask CCM and Tanzania to join the international movement to free the captives ... they are symbols of our determination to defend with dignity our freedom and independence," said Mr Diaz.
He said in this movement, Cuba needs support from its Tanzanian brothers and sisters. The Cuban ambassador also expressed his sincere gratitude to the Government of Tanzania for support it has given, especially in their fight against United States injustice acts on the Cubans.
"We take this opportunity to thank the solidarity and support we have always received from Tanzania in our fight against criminal and genocide blockade imposed by the United States against our people," he added.
On his part, the CCM deputy chairman (Mainland), Mr Pius Msekwa, promised to implement the agreement reached between the two parties for the betterment of the people of Cuba and Tanzania. "We have enjoyed close cooperation between our parties for many years since the leadership of Mwalimu Julius Nyerere, and though the cooperation, we have been able to fight against colonialism and for freedom for our countries," said Mr Msekwa.
He said: "In this agreement, we will exchange ideas and delegations... this is a normal tradition for political parties like ours to have such agreements."
In the agreement, CCM and CPC will see both parties exchange experiences, delegations and information meant to strengthen them.
The signing of the agreement was also an occasion to remember the over 2,000 Cuban voluntary soldiers who lost their lives in the African soil, helping Africans to fight against colonialism. The CPC was founded in 1925 by the Moscow-trained members of the Third International.
In 1940s and early 1950s, Cuba was led by a Fulgencio Batista who was overthrown by Fidel Castrol in 1960.
Msomaji
Dar es salaam

Friday, November 27, 2009

Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Sokoine Champa Mwl.Nyerere Tunzo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia, Dk.Florens Turuka (kushoto), akimkabidhi mke wa hayati Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere cheti maalumu cha kutambua mchango wa Mwalimu Nyerere tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwenye maadhimisho ya miaka 25 jana. Mbali na Mwalimu,wahadhiri na watumishi wengine 21 walitunukiwa.

Msomaji

Rajabu Kiravu azungumzia wajibu wa vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mkuu!!

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Rajab Kiravu akisisitiza jambo kuhusu nafasi na wajibu wa vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mkuu kwa Maofisa habari na Mawasiliano wa Wizara, Taasisi, Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali leo katika ukumbi wa kimataifa wa Arusha (AICC).
Msomaji
Arusha

OPERESHANI KIPEPEO NI KIBOKO, IMENASA MAJANGILI YASIYOPUNGUA 70

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Shamsa Mwanguna akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya Wizara hiyo Mtaa wa Samora, ambapo amesema Jitihada za serikali katika kudhibiti ujangili wa wanyamapori nchini hususan wa Tembo kupitia operesheni kipepeo iliyoanza rasmi tarehe novemba 8, 2009 ndani na pembezoni mwa pori la akiba la Selous zimefanikiwakwa kiasi kikubwa ambapo hadi kufikia novemba 25, 2009 jumla ya watuhumiwa 70 wamekamatwa kwa makosa mbalimbali.

Wamekamata mizoga 9 ya Tembo, 12 ya viboko ,16 ya Nyati, 2 ya kuro na mmoja wa mamba, pamoja na kuonekana kwa mizoga hiyo nyara zifuatazo zilikamatwa meno 8 na vipande 12 vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 39, nyama ya Nyati na Swalapala, Ngozi moja ya Mbawala, na mkia mmoja wa nyumbu, pia kilo 20 za samaki wabichi.

Silaha zilizokamatwa ni Bunduki za kuwindia wanyama (RIFLE) 3 na ShotGun 15 , SMG 1, Magobole 2, risasi 114 kati ya risasi hizo 25 zimetengenezwa kienyeji, sumu aina ya Furudan itumikayo kuulia samaki, mamba hata viboko na kwa vile sumu hii huwekwa kwenye maji madahara yake yanampata pia binadamu anayetumia maji hayo.

Kwa maana hiyo basi Wizara itawashughulikia wahalifu ipasavyo vilevile itaendeleza doria za pamoja kati ya jeshi la polisi na idara ya wanyamapori, TANAPA,Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro(NCAA) na Taasisi nyingine za Kanda na Kimataifa katika kudhibiti Ujangili.
Operesheni imepewa jina la "Kipepeo" ktokana na kutumiwa kwa Helkopta na Ndge za kusafirisha askari katika vituo ndani ya pori ikiwa ni pamoja na kuhakikisha askari wanapatiwa mahitaji yote muhimu mahali popote walipo.

Msomaji
Dar es salaam

Waziri Mkuu Mhe Mizengo Kayanza Peter Pinda Atembelea wilaya ya Monduli !!

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa wilaya na Halmashauri ya Monduli, Arusha kuhusu hali yaukame na njaa wilayani humo kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo. Kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Edward Lowassa na katikati ni mkuu wilaya hiyo,Njowika Kasunga.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano kuhusu barabara vijijini alioufungua mjini Arusha Novemba 27,2009.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Msomaji
Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete aitimisha ziara ya siku nne nchini Jamaica

Rais Kikwete na waziri mkuu wa Jamaica Mhe. Bruce Golding wakisaini makubaliano ya ushirikiano yaliyofikiwa baina ya serikali ya nchi yaTanzania na nchi ya Jamaica katika siku ya mwisho ya ziara ya siku nne ya kiserikali nchini humo
Rais Kikwete akiagana na Gavana Jenerali wa nchi ya Jamaica Mhe. Patrick Allen katika uwanja wa ndege wa Norman Manley mjini Kingston Jamaica wakati wa kuitimisha ziara yake nchini humo
Rais Jakaya Kikwete na waziri mkuu wa nchi ya Jamaica mheshimiwa Bruce Golding wakibadilishana hati baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano yaliyofikiwa baina ya serikali ya tanzania na jamaica

Msomaji
Jamaica

Tuesday, November 24, 2009

Kombe la Chifu Marealle II kurindima mjini Moshi

Mkurugenzi Mkuu wa Executive Solutions, Bw. Aggrey Marealle akiongea na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Chifu Marealle 2009 leo kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO.


Mashindano ya Kombe la Chifu Marealle II kwa mwaka 2009 yatazinduliwa rasmi Mjini Moshi tarehe 9 Disemba ili kwenda sambamba na sherehe za Siku ya Uhuru.Mkurugenzi Mkuu wa Executive Solutions, waandaaji wa mashindano hayo, Aggrey Marealle amesema mashindano hayo yatapambwa na maandamano yatakayozihusisha timu zote shiriki na washabiki kutoka kata 17 za Manispaa ya Moshi hadi Uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara (MUCCOBS) ambapo mechi ya ufunguzi itachezwa.

Marealle amesema zaidi ya timu 20 za soka, na timu 10 za netiboli kutoka wilaya za Moshi Mjini, Moshi Vijijini, Siha, Hai na Vunjo zote za mkoa wa Kilimanjaro zinatarajiwa kushiriki kwenye mashindano hayo yanayofanyika kwa mwaka wa tatu. Mashindano hayo yatafanyika katika kata mbalimbali za manispaa ya Moshi kama vile Pasua, Ikulu KDC, Majengo na viwanja vya George Memorial.

Fainali zitafanyika katika uwaja wa MUCCOBS siku kumi baada ya uzinduzi.Marealle alimema washindi watapata zawadi kabambe na za kuvutia na akaongeza kuwa mashindano hayo yatahusisha watu kutoka Nyanja mbalimbali na watashiriki katika michezo ya vijana kama vile soka na netiboli pamoja na michezo ya kujifurahisha kwa ajili ya wazee kama kuvuta kamba, kukimbia na gunia na kufukuza kuku.

“Mashindano haya yana lengo la kumuenzi Chifu Marealle akiwa ni kati ya waliotetea uhuru wa Tanganyika na kama mwanamaendeleo aliyechangia kuleta maendeleo mkoani Kilimanjaro. Marealle pia ameongeza kuwa mashindano hayo yana lengo la kuwakutanisha vijana pamoja na kushiriki michezo ili kuweka afya zao katika hali nzuri, kuwa na nidhamu, kujifunza sifa za uongozi na kuendeleza michezo kati ya vijana nchini”, amesema Marealle.

Mashindano hayo pia yanatumika kutoa elimu kwa vijana kuhusu mapambano dhidi ya Ukimwi na kuwafundisha vijana jinsi ya kuishi maisha bora. "Tunaamini kuwa mashindano haya yataunganisha watu wa mkoa wa Kilimanjaro na kuweka msingi imara wa vijana na maendeleo ya michezo na kuchangia kutoa elimu kuhusu UkimwiMwaka 2008 maandamano ya uzinduzi na kufunga mashindano yalikuwa na wanamichezo zaidi ya 700 na wakati wa mashindano pamoja na fainali watazamaji wapatao 7,000 waliudhuria mashindano hayo ambapo Mkuu wa Mkoa wa wakati huo Mhe.

Mohammed Babu alikabidhi zawadi zikiwemo pesa taslimu shilingi 600,000, ng’ombe, vifaa vya mpira wa miguu, mipira na kombe la kifahari kwa wahindi.Zawadi na Wadhamini wa mashindano hayo watatangazwa taratibu za udhamini zikishakamilishwa.

Msomaji
Moshi

SAMWEL SITTA ASAMBAZA MATREKTA KATA ZOTE JIMBONI KWAKE

Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki Mh. Samwel Sitta akijaribu moja ya Matrekta 12 aliyoyatoa kwa kila kikundi kinchojishughulisha na kilimo kwenye kata zote zinazounda jimbo la Urambo Mashariki katika kutekeleza kauli mbiu ya Serikali kuhusu kilimo inayosema "Kilimo Kwanza" matrekta hayo yana thamani ya shilingi Milioni 100 ikiwa ni ufadhili kutoka Denmark
Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Msomaji

Monday, November 23, 2009

Maofisa Habari wanolewa - AICC Arusha.

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Joel Bendera (katikati) akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari- MAELEZO (Kushoto) Clement Mshana na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) Elishilia Kaaya mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa tano wa Maofisa Habari ,Elimu na Mawasiliano wa Wizara,Taasisi,Idara zinazijitegemea na Wakala wa serikali leo jijini Arusha.
Msomaji
Arusha

Saturday, November 21, 2009

NAPE AWATAHADHALISHA WAUZA UNGA KUTOFADHILI VYAMA VYA SIASA.

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM,Nape Nnauye(Pichani), amesema vitendo watu wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya kufadhili vyama vya siasa katika uchaguzi mkuu,vinasababisha serikali inayoingia madarakani kutekeleza matakwa ya wafadhili hao.

Nape alisema hayo jana jijini Dar es Salaam,alipokuwa akizundua Chama Kuweka na Kukopa cha Upendo Group ambapo alisema serikali inayochaguliwa kwa njia hiyo itakuwa ya wauza madawa ambao maamuzi yao hayawezi kuleta maendeleo kwa wananchi.

“Hao wauza unga wanapopata nafasi ya kukifadhili chama cha siasa kisha chama hicho kikafanikiwa kuingia madarakani kwa nguvu za pesa zao,serikali ya chama hicho haitakuwa na uwezo wa kuwachukulia hatua watu hao na badala yake,itafanya maamuzi kwa muujibu wa wafadhili hao,”alisema Nnauye.

“Tukumbuke waswahili walisema “anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua tuni ya muziki,wafadhili wa aina hiyo wakifanikiwa kukiweka chama madarakani kwa njia fedha zao,wanaweza kuichagulia serikali mambo ya kufanya kwa mgongo wa fedha zao,” alisema.
Kwa muda sasa, kumekuwa na hoja kuwa vyama vya siasa nchini,vinategemea kupata fedha za kampeni kutoka kwa wafadhili wao bila kujali nyanzo vya fedha hizo na athari zake kwa taifa.Hata hivyo Nape ambaye alitoa Sh1.2milioni ili kukiwezesha upendo group kufungua saccos yao alisema vyama vya siasa visivyo kuwa makini na watu hao kuna siku vitajutia.

Friday, November 20, 2009

RIPOTI YA ZOEZI LA UHAKIKI WA MADAI YA WALIMU HADHARANI

Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali Ludovick Utouh akionyesha ripoti ya ukaguzi wa madai ya walimu wa Sekondari na vyuo.

Zoezi la Uhakiki wa madai ya waalimu na watumishi walio chini ya wizara ya elimu
na mafunzo ya ufundi lakamilika.

Akitolea ufafanuzi zoezi hilo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali Ludovick Utouh amesema imegundulika kuwa katika idadi ya majalada 19,861 yaliyowasilishwa na yenye jumla ya Sh. bilioni 26.07 kati ya madai hayo yenye jumla ya shilingi bilioni 12.5 au asilimia 48 yamekubaliwa kwa malipo na madai ya shilingi bilioni 13.5 ambayo ni asilimia 52 yamekataliwa na kuonekana kuwa hayastahili kulipwa kwa sababu mbalimbali ikiwemo nyaraka za kughushi.

Baada ya zoezi zima la ukaguzi wa madai hayo na kugundua kuwa kuna dosari au udanganyifu katika majalada hayo Ofisi ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali imeishauri serikali ishughulikie tatio hilo la malimbikizo ya madai ya watumishi ili lisijirudie lakini pia serikali itoe fursa kwa walimu ya kukata rufaa kwa yeyote atakayedhani kuwa hakutendewa haki, pia mkaguzi huyo mkuu wa serikali na ofisi yake amependekeza kuwa walioghushi nyaraka wachukuliwe hatua za kinidhamu

Zoezi hilo lilianza mwezi Agosti 23. 2009 na kumalizika oktoba 31. 2009

Msomaji
Dar es salaam

Thursday, November 19, 2009

RAIS JAKAYA AWALAANI TFF KWA KUWAFUNGIA WACHEZAJI MIEZI SITA!!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amelinyanyua juu kombe la FIFA la dunia wakati alipozindua rasmi ziara ya kombe hilo hapa nchini na kupiga nalo picha jioni hii kwenye uwanja wa taifa rais aliingia kwenye kibada maalum kilichojengwa kwenye uwanja huo kwa ajili ya kuhifadhia kombe hilo akalibeba na kulinyanyua juu huku akilibusu kombe hilo , Rais Jakaya amemtaka rais wa shirikisho la mpira wa miguu nchini Rodger Tenga pamoja na kamati zake kufanya kazi ya kusimamia na kuinua kiwango na vipaji vya mpira wa miguu nchini badala ya kusimamia timu ya taifa tu na mapato ya milangoni kwani hawako TFF kwa ajili ya kujenga nyumba zao Binafsi bali wapo kwa ajili ya kuendeleza na kukuza soka nchini, Rais Jakaya amelaani kitendo cha shirikisho hilo kuwapa adhabu ya kuwafungia muda mrefu hadi miezi sita wachezaji na kusema hiyo ni kuwakomoa na kudidimiza vipaji vyao badala ya kuviendeleza ziara ya kombe la FIFA la dunia inaratibiwa na wadhamini wa kombe hilo Cocacola na linatembezwa nchi mbalimbali Duniani, aliyeko kulia katika picha ni Hedi Hamer mwakilishi wa FIFA.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katikati akiwasili kwenye uwanja wa taifa jioni hii ili kuzindua rasmi ziara ya kombe hilo nchini kushoto ni mke wake Mama Salma Kikwete na kulia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mh. Joel Bendera wakiiwa wameongozana na rais.
Ndege iliyobeba kombe hilo ikiwasili kwenye uwanja wa mwalimu J.K. Nyerere.
Msomaji
Dar es salaam

Wednesday, November 18, 2009

TAARIFA MAALUM KWA WANANCHI

MABADILIKO YA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA.

Serikali imebadilisha Siku ya Taifa ya Kupanda Miti kutoka Januari Mosi ya kila mwaka na kuwa Aprili Mosi. Mabadiliko hayo yametokanana Waraka wa Waziri Mkuu Na 1 wa mwaka 2009 kuhusu kubadili Siku ya Taifa ya Kupanda Miti kutoka Januari Mosi na kuwa Aprili Mosi ya Kila mwaka.
Kwa mujibu wa waraka huo, kuanzia mwaka 2010 Siku ya Taifa ya Kupanda Miti itaadhimishwa Aprili Mosi ya kila mwaka. Waraka huo unaanza kutumika rasmi tarehe 01 Juni, 2009 na unafuta waraka wa Waziri Mkuu Namba 1 wa Oktoba, 2000.
Uamuzi wa kubadilisha siku hiyo unatokana na mapendekezo yaliyotolewa na Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Januari Mosi 2008 aliposhiriki maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Kupanda Miti na kutaka maadhimisho hayo yahamishiwe kipindi ambacho sehemu nyingi za nchi zitakuwa zinapata mvua.
Kwa mujibu wa waraka huo, Aprili Mosi itakuwa ni siku ya Taifa kuhamasisha upandaji miti huku kila mkoa ukiendelea kujipangia Siku ya Kupanda Miti kutokana na majira ya mvua yatakavyoruhusu. Ili kazi ya kupanda miti iwe inatekelezwa na wadau wote, Waraka huo umeagiza Wizara, Mikoa, Wilaya, Viongozi wa wilaya, Halmashauri za Jiji, Manispaa na Mamlaka za Miji midogo, Tarafa, Kata, Vijiji na mitaa kuandaa programu za utekelezaji mapema iwezekanavyo.
Maafisa Misitu walioko mijini, mikoani, wilayani na vijijini wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu aina ya mbegu na miche inayofaa katika eneo husika na kushauri utayarishaji wa vitalu vya miche kwa wakati unaofaa.Waraka umemtaka kila kiongozi ahakikishe zoezi la upandaji miti linatekelezwa na kusimamiwa ipasavyo kwenye eneo lake.
Aidha, pamoja na masuala mengine kiongozi atapimwa kutokana na juhudi zake za kuhamasisha, kutekeleza na kusimamia wananchi kupanda miti. Halmashauri zote kwa kushirikiana na mamlaka husika, zihakikishe kuwa upandaji miti ni pamoja na kupanda kando kando ya barabara zote nchini.
Waraka huo umetahadharisha kuwa kupanda miti pekee hakutoshi kukabiliana na jangwa kama hatua za makusudi za kutunza na kulinda uoto wa asili hazitachukuliwa. Siku ya Taifa ya Kupanda Miti iliadhimishwa kitaifa kwa mara ya kwanza mwaka 2001 katika eneo la Jangwani mkoani Dar es Salaam.
Ezekiel Maige (Mb)
NAIBU WAZIRIWIZARA YA MALIASILI NA UTALII

OBAMA AWASILI KOREA KUSINI.

MIKATABA YA BIASHARA KATI YA MAREKANI NA KOREA KUSINI NDIO MAADA KUU


Rais Barack Obama wa Marekani amewasili Korea Kusini kituo cha mwisho cha ziara yake barani Asia ambapo suala la kuishawishi Korea Kaskazini kurudi katika mazungumzo ya kimataifa ya kutokomeza silaha za nuklea limatarajiwa kuhodhi mazungumzo kati yake na rais mwenzake wa Korea Kusini Lee Myung Bak.

Masuala mengine yatakayojadiliwa hapo kesho ni ushirika wa usalama pamoja na mkataba wa biashara huru uliokwama kati ya nchi hizo mbili.Serikali ya Korea Kusini imekuwa ikionyesha kuchoka kusubiri juhudi za serikali ya Marekani kuzungumzia upya sehemu za makubaliano makubwa ya Mkataba wa Biashara Huru (PTA) uliosainiwa takriban miezi 29 iliopita lakini bado ukisubiri kuridhiwa.

Msemaji wa Rais Lee wa Korea Kusini amesema wanatumai Rais Obama atatowa msimamo wa nguvu zaidi juu ya suala la mkataba huo na kwamba wanajiandaa kufanikisha hilo.
Taifa la kikomunisti la Korea Kaskazini limejaribu kuupima utawala wa Obama kwa kufyatua makombora kadhaa, kwa kufanya jaribio la pili la silaha za nuklea na vitendo kadhaa vya uhasama karibu na nchi rafiki wa Marekani Korea Kusini. Marekani imeweka wanajeshi wake 28,000 nchini Korea Kusini kuzima tishio lolote lile kutoka Korea Kaskazini na Obama anatazamiwa kuhutubia baadhi ya vikosi hivyo hapo kesho mchana kabla ya kuondoka kurudi Washington.


Manowari za Korea Kusini na Kaskazini zilishambuliana vikali kwa muda mfupi wiki iliopita baada ya Korea Kusini kusema kwamba mashua ya Korea Kaskazini ilivuka mpaka wa bahari wanaougombania.

Obama amesema serikali ya Marekani haiwezi kuoogopeshwa na vitisho vya nuklea vya Korea Kaskazini lakini iko tayari kuipatia nchi hiyo iliojitenga mustakbali wa usalama wenye ustawi na badala yake nchi hiyo ikubali kutokomeza kabisa silaha za nuklea.

Obama alisema 'Kwa miongo kadhaa Korea Kaskazini imeamua kufuata njia ya malumbano na uchokozi ikiwa ni pamoja na kutaka kuwa na silaha za nuklea .Kwa hiyo njia ya Korea Kaskazini kufanikisha mustakbali wake ni kurudi katika mazungumzo ya pande sita kutekeleza ahadi za nyuma ikiwa ni pamoja na kurudi katika mkataba wa kutokomneza silaha za nuklea na kutokomeza kabisa kunakoyakinishwa kwa silaha za nuklea katika bara la Korea.'

Tokea mwezi wa Augusti serikali ya Korea Kaskazini imekuwa ikitoa ishara ya kutaka amani kwa Marekani na Korea Kusini.Kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong- Il ameeleza kuwa tayari kurudi katika jukwaa la pande sita iwapo mazungumzo ya pande mbili kati yake na Marekani yanayotarajiwa mwezi ujao yatakuwa ya kuridhisha.

Rais Lee wa Korea Kusini amekuwa na ushirikiano wa karibu na Obama juu ya suala hilo na mengineyo lakini inatarajiwa kwamba Lee atamshinikiza mgeni wake huyo katika suala la makubaliano ya biashara huru ambayo yamekwama tokea yalipotiwa saini hapo mwezi wa Juni mwaka 2007.

Afisa wa rais wa Korea Kusini amekaririwa akisena wiki hii kwamba Rais Lee anatazamiwa kusisitiza umuhimu wa mkataba huo na kwamba ni zaidi ya miaka miwili tokea kusainiwa kakwe kwa hiyo unahitaji kuridhiwa haraka.

Wakati alipokuwa mgombea wa urais Obama aliutaja mkataba huo kuwa na kasoro kubwa sana na utawala wake tayari umedokeza kwamba unataka mabadiliko ya kuifunguwa zaidi Korea Kusini kwa wafanya biashara wa magari na nyama ya n'gombe wa Marekani.

Korea Kusini inapinga mazungumzo yoyote yale mapya kwa kile kitakachokuwa mkataba mkubwa kabisa wa biashara wa Marekani tokea ule mkataba wa biashara Huru wa Amerika Kaskazini wa mwaka 1994.

Obama hapo Jumatano alikamilisha ziara yake ya siku tatu nchini China ambapo amesema Marekani na China zinataka kutanuwa ushusiano wao wa kimkakati .

MWENYEKITI WA WAMA ZIARANI MKOANI SINGIDA.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo(WAMA)akiwa amebeba kibuyu mara baada ya kukabidhiwa na wanawake wa kabila la wataturu ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika mkoa wa Singida. Mama Kikwete yuko katika ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani humo.

NITAUFANYA UONGOZI WANGU KUWA WA VIJANA ZAIDI, TEMU- 2


Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuwa kama akijaliwa kupata kipindi cha pili cha kuliongoza taifa la Tanzania, atafanya jitihada kubwa kuubadilisha uongozi wa Tanzania kuwa uongozi wa vijana. Rais Kikwete pia amesema kuwa vijana ndiyo Tanzania ya kesho, na kama Tanzania haikuwekeza vya kutosha katika vijana na maendeleo yao, basi itakuwa haiwekezi katika hali yake ya baadaye.

Akizungumza juzi mjini Dar Es Salaam na vijana kutoka nchi mbali mbali za Afrika wanaoshiriki katika Mpango wa Kulea Uongozi wa Afrika wa African Leadership Initiative, Rais Kikwete amesema kuwa anauthamini Mpango huo.
Amewaambia vijana hao ambao wanashiriki katika Mpango huo unaodhaminiwa na Askofu Mkuu(mstaafu)wa Kanisa la Anglikan Desmond Tutu wa Afrika Kusini kuwa kwa kadri miaka inavyokwenda ni lazima rika la wazee lipishe lile la vijana. Rais amewaambia vijana hao kwenye mkutano wao katika Hoteli ya Southern Sun mjini Dar Es Salaam:“Kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, kama nitajaliwa na nikapata bahati ya kuchaguliwa tena, nitahakikisha kuwa naubadilisha uongozi wa Tanzania kwa kuufanya uongozi wa vijana zaidi.

”Ameongeza:“Wale viongozi wa rika langu lazima waanze kuwaachia nafasi vijana. Tunahitaji wakuu wa wilaya vijana zaidi, wakuu wa mikoa vijana zaidi,na hata mawaziri vijana zaidi. Ndivyo ilivyotokea kwetu sisi wakati tukiwa vijana.”Amesisitiza:“Vijana ndiyo matumaini ya nchi hii katika miaka inayokuja,na kama hatukuwekeza katika vijana wetu,basi ni dhahiri kuwa hatuwekezi ipasavyo katika miaka ijayo ya taifa letu.

”Akijibu maswali ya vijana hao kutoka nchi mbali mbali za Afrika zikiwamo Tanzania,Nigeria, Kenya,Afrika Kusini na Uganda,Rais Kikwete amewaeleza vijana hao jinsi gani alivyojikuta anaingia katika siasa.Akijibu swali kuhusu maendeleo ya karibuni katika siasa za Zanzibar,Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kufurahisha kwamba vyama vya siasa katika Zanzibar vimeamua kuachana na siasa na mazoezi ya zamani na kuanza ukurasa mpya.

SITTA AMTEMBELEA MIGIRO NEW YORK.

Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,Mhe. Samuel Sitta (Kushoto) akisalimiana na Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha-Rose Migiro alipomtembelea ofisini kwake,makao makuu ya Umoja huo mjini New York Marekani. Mheshimiwa Spika yupo Jijini New York kuhudhuria Mkutano wa pili wa kamati ya maandali ya mkutano wa Maspika wa Mabunge Duniani utakaofanyika Julai 2010 huko Geneva.

Tuesday, November 17, 2009

Who is Jakaya Kikwete? - Tanzania's head of state on his way to Jamaica

Nadisha Hunter, Gleaner Writer

Political stalwart, Jakaya Kikwete, the man who is to pay Jamaica a state visit in a few days, is one of a new generation of African leader championing a free market, stronger ties to the West and the ultimate unification of Africa.

Graduating with a degree in economics in the mid-1970s, Kikwete opted for a low-paying job as an executive functionary officer in The Chama Cha Mapinduzi (Party of the Revolution in Swahili), Tanzania's ruling party. This gave him the opportunity to work at the grass-roots level.
Kikwete sharpened his leadership acumen in the military, rising to the rank of lieutenant colonel. From 1984 to 1986, Kikwete was chief political instructor and political commissar at the military academy.

Full-time politician

Kikwete retired from the military as a lieutenant colonel, when he chose to become a full-time politician.
In elective party politics, Kikwete started shining in 1982, when he was overwhelmingly elected to be a member of the National Executive Committee. This is the highest policy and decision-making body of a party.

He has won re-elections to the body every five years since then. Kikwete moved from one position to another in the party ranks. He was made member of parliament and deputy minister for energy and minerals and was promoted to full minister responsible for the ministry of water, energy and minerals.

At age 44, he became one of the youngest finance ministers in the history of Tanzania. At the Treasury, he established discipline in public finance management and accountability. He is remembered for establishing a cash-budget system and revamping revenue-collection structures, methods and institutions.

He later became minister of foreign affairs and international cooperation, a position he held for ten years, until he was elected the fourth president of the United Republic of Tanzania in 2005.

Deeply involved

During his tenure in foreign affairs, Tanzania played a significant role in bringing about peace in the Great Lakes region. Kikwete was also deeply involved in the process of rebuilding regional integration in East Africa.

He is a keen sportsman, having played basketball competitively in school. He has been a patron of the Tanzania Basketball Federation for the past 10 years. He is married to Salma Kikwete, and together, they have eight children.

So far, Kikwete's government has received accolades across the country and in the donor community for fighting corruption and investing in people, particularly in education.

Kikwete's small East African country is largely agricultural. In fact, agriculture accounts for more than half of Tanzania's GDP, providing approximately 85 per cent of exports, and employs 80 per cent of the workforce.

Tourism is also a promising sector for the country, with a number of new hotels and resorts having been built in recent years.

Politics in Tanzania takes place in a framework of a unitary presidential democratic republic, whereby the president of Tanzania is both head of state and head of government, and of a multi-party system.

nadisha.hunter@gleanerjm.com

Monday, November 16, 2009

KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA USALAMA WA CHAKULA.

Rome, Italia

Ni jambo aibu kwamba bado watu wanaendelea kufa kwa njaa duniani, bila sababu ya maana, kwa sababu dunia inacho chakula cha kutosha kuweza kumulisha kila binadamu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema leo, Jumatatu, Novemba 16, 2009.

Akihutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi Kuhusu Hali ya Usalama wa Chakula Duniani katika makao makuu ya Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) mjini hapa, Rais Kikwete amesema kuwa wakati umefika kwa dunia kukomesha aibu hiyo.

“Tokea nilipoanza kusoma hotuba yangu, kiasi cha sekunde 60 zilizopita, watoto kiasi cha kumi tayari wamekwishakufa kwa njaa. Ni dhahiri basi kuwa hatuna tena muda wa kupoteza katika kujaribu kukabiliana na balaa hili,” Rais Kikwete amewaambia wajumbe wa mkutano huo ulioanza leo asubuhi.

Rais Kikwete aliongeza, “Ni aibu kubwa kwa upande wetu kwa mtoto ama hata mtu mwingine yoyote mzima katika kona yoyote ya dunia yetu hii kwenda kitandani akiwa na njaa ama kufa kwa njaa. Kuna chakula cha kutosha kwenye ulimwengu wetu huu kuhakikisha kuwa vifo hivyo havitokei.”

Rais pia amesema kuwa dunia inazo nyenzo na raslimali za kutosha, teknolojia mwafaka na ujuzi unaofaa kuweza kuzalisha chakula cha kutosha kwa sasa na hata katika miaka ijayo. Amesema kuwa kinachotakiwa kwa dunia kutokomeza njaa duniani ni kwa kushirikiana na kuamsha ari muhimu ya kisiasa ili kuweza kukabiliana na changamoto hiyo.

“Kwa hakika ni jambo la kutia moyo kuwa Azimio la Mkutano huu tulilolipitisha asubuhi hii linathibitisha ari yetu ya pamoja kutaka kumaliza njaa wakati wa uhai wetu. Nimefurahi kuwa Azimio hilo limesisitiza umuhimu wa kurekebisha makosa ya kutokuwekeza kiasi cha kutosha katika “usalama wa chakula, kilimo na maendeleo.”

Rais Kikwete pia ametaka misaada ya maendeleo katika kilimo kuongezwa kwa kuwa imeshuka mno kutoka asilimia 19 mwaka 1980 hadi kufikia asilimia tano mwaka huu.“Sasa ni wakati wa kubadilisha hali hii. Ningependelea kuwa katika Azimio letu tungeweka malengo na muda wa kufikia malengo hayo, ama hata kulenga kuongeza maradufu kiwango hicho cha uwekezaji wa sasa katika kilimo.”

Rais Kikwete pia amezitaka nchi zinazoendelea kuhakikisha kuwa bajeti za nchi hizo zinakuwa na fedha za kutosha kulingana na misaada itakayotolewa na nchi tajiri ili kuwekeza katika kilimo.Akizungumzia kuhusu Tanzania amesema kuwa “kwetu sisi kilimo ni chakula na ni kila kitu katika maisha. Kiasi cha asilimia 80 ya watu wetu wote wanaishi vijijini na kilimo ndicho chimbuko lao kuu la maisha. Kilimo cha kisasa zaidi na chenye kuzalisha zaidi kitapunguza kiwango cha umasikini kidogo na kuongeza hali bora zaidi kwa watu wetu walio wengi.”

Rais Kikwete pia amesema kuwa uwekezaji katika kilimo utakuwa na athari kubwa na nzuri kwenye chumi za nchi masikini. “Wachumi wanabashiri, kwa imani kabisa, kuwa kila asilimia mia moja inayoongezeka kwenye uzalishaji wa kilimo, husababisha ongezeko la asilimia 1.6 ya nyongeza kwenye mapato ya asilimia 20 watu masikini zaidi katika kila nchi.”

Kuhusu uhusiano kati ya kilimo na tabianchi, Rais Kikwete amewaambia wajumbe wa Mkutano huo kuwa Tanzania ina matumaini makubwa kwamba Mkutano wa Tabianchi uliopangwa kufanyika mjini Copenhagen, Denmark, mwezi ujao, utafikia maamuzi muhimu yanayoweza kunufaisha kilimo na kubatilisha madhara ya tabianchi.“Wakati tunapokutana kwenye Mkutano Kuhusu Usalama wa Chakula, lazima tukumbuke kuwa ajenda ya usalama wa chakula haiwezi kamwe kutenganishwa na ajenda ya mazingira,”

Rais Kikwete aliongeza:“Kwa sababu ya madhara ya tabianchi, mienendo ya hali ya hewa imebadilika kabisa. Mvua hazitabiriki zaidi na hali ya ukame imekuwa mbaya zaidi na inayojitokeza zaidi. Hii imeathiri sana mazao, mifugo na usalama wa chakula kwa jumla. Mataifa yetu mengi na watu wake wanaotegemea kilimo sasa wamekuwa watu ambao maisha yao hayana uhakika na watu wa kutahayari zaidi.”

Rais Kikwete amekuwa miongoni mwa viongozi waliozungumza kwenye siku ya kwanza ya Mkutano huo wa siku tatu. Miongoni mwa viongozi wengine waliozungumza leo ni pamoja na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Benedict wa 16.

EQUADOR WINS ON FIFTH ANNUAL SISTER CITIES OF HOUSTON SOCCER TOURNERMENT!

TANZANIA ENDS TO BE THE SECOND RUNNER-UP.

Hekaheka langoni mwa Equador wakati mchezo wa fainali dhidi ya Holland waliobamiza Tanzania magoli 5-2. Mchezo huo uliisha kwa Equador kuilaza Holland 1-0

Wadau wakifuatilia mpambano.

Waratibu wa mashindano wakieleza machache kabla ya kukabidhi vikombe kwa washindi.
Nahodha wa timu ya Holland akikabidhiwa kikombe cha ushindi wa pili.


Nahodha wa timu ya Equador akikabidhiwa kombe la ushindi.

Washindi wa mashindano hayo timu ya Equador wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa kombe.

Saturday, November 14, 2009

WANA CCM MPOOO?!!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

FIFTH ANNUAL SISTER CITIES OF HOUSTON SOCCER TOURNERMENT KICKED OFF TODAY!

TANZANIA YAANZA KWA KISHINDO


Baadhi ya wachezaji (pichani juu) wa timu ya tanzania wakijiandaa dakika chache kabla ya mchezo wao kuanza leo mchana.




Captain wa timu ya tanzania Haroun Mwasabite (katikati) akiwa na wachezaji wenzake Justice (kulia) na Shaib (kushoto).


Mtanange ukiendelea ambapo matokeo yalikuwa suluhu ya 3-3 dhidi ya Equador.


Kocha wa Tanzania James Shemdoe wa (kwanza kushoto) akiwa na baadhi ya wasimamizi wa mashindano.

Timu ikipokea maelekezo wakati wa mapumziko.



Mmoja wa waamuzi wa mashindano hayo akibariiiiiizi! baada ya mechi kumalizika.



Makamu wa rais wa timu ya Tanzania Allan Maphuru (katikati) akiwa na baadhi ya wasimamizi wa mashindano hayo.

Friday, November 13, 2009

MAAFA YAIKUMBA SAME

Baadhi ya majeneza ilimohifadhiwa miili ya marehemu.
Baadhi ya wanakijiji wa kata ya mamba wilaya ya same wakishiriki kwenye zoezi la kutafuta miili ya wanakijiji wenzao.

Polisi wakishiriki kikamilifu katika zoezi la kufukua vifusi kama hatua ya utafutaji miili ya marehemu.

SIMANZI na vilio jana vilitawala kwenye mazishi ya watu 2O waliofariki dunia kwa kufunikwa na kifusi kilichoporomoka mlimani na kufukia nyumba zao usiku wa manane katika Kata ya Mamba Miamba,wilayani Same,Kilimajaro.Gazeti la Mwananchi lilishuhudia watu zaidi ya 1,000 waliokusanyika katika msiba huo mkubwa wakiwa wamefunikwa na simazi,huku wakilia kwa uchungu kutokana na kupoteza ndugu zao katika mkasa huo wa kutisha.Asilimia kubwa ya watu walionyesha masikitiko yao,hasa kwa familia ambayo imepoteza watu 15 na kati ya hao wanne hawajapatikana mpaka sasa.
Wanachi hao waliiomba serikali iwasaidie kutafuta miili ya watu hao na ikiwezekana watumie kikosi cha mbwa ili kubaini mahali ilipo.Elineema Shambi,mmoja wa ndugu wa wanafamilia 15 waliofariki dunia na ambaye alinusurika kwa vile alikuwa amekwenda mjini Moshi kwa shughuli za kibiashara,alisema kwa majonzi kwamba amepoteza mke na watoto wake wanne ambao walifukiwa na kifusi hicho.
Alisema alikwenda mjini Moshi kununua bidhaa za kuuza,na kesho yake asubuhi alipigiwa simu na kuondoka mara moja. Alieleza kuwa alipofika alikuta nyumba yake imefunikwa kabisa kiasi cha kutoonyesha kama kulikuwa na nyumba na mwili wa mkewe ulikuwa haujapatikana hivyo akasaidia kuutafuta na kuupata pamoja na miili ya watoto wake. Alifahamisha kuwa yeye ni mmoja kati ya ndugu wa watu 15 waliofariki katika tukio hilo la kutisha.
Akisimulia juu ya maporomoko hayo,alisema dalili za mlima huo kuporomoka zilianza kuoneka mwaka jana kwa kuwa kulikuwa na ufa, hata hivyo hakueleza kwamba ni kwa nini hawakuhama katika eneo. Akiunga mkono maelezo hayo, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Monica Mbega alibainisha kuwa wananchi wa Kata ya Mamba walishaona dalili za kuporomoka kwa mlima ulioua watu 20, tangu mwaka jana lakini hawakuchukua tahadhari.

MAHUJAJI WAKWAMA TENA DAR.

Mahujaji wapatao 35 wamekwama katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere baada ya kukosa tiketi za kusafiria. Mahujaji hao walikuwa waondoke kwa ndege ya shirika la ndege la Yemen.

Thursday, November 12, 2009

WHY VISIT TANZANIA FOR TOURISM

Visit the beautifull Tanzania during your exciting trip. You will explore the serengeti National Park, the highest mountain in Africa kilimanjaro, which is only found in Tanzania, and many more exciting wondersThis is what are these people have to say, a climb of Kilimanjaro is (literally!) one of the world's "top" adventures - a classic you get to check off your list.

Tanzania is the unique destinations on the African continent that has many mirracles. It is a land of many wonders as you can see one on this picture
Michael Ndejembi