Friday, January 2, 2009

Kila sehemu mwaka mpya husherehekewa toufauti, hapa ni Marina bay singapore pindi ilipotimia saa sita kamili usiku wa kuamkia tar. 01/o1/09 hii ni moja kati sehemu ambazo sherehe zake zilifana sana miongoni wa majiji duniani.

Kokusima lyoba,
Marina-Singapore

11 comments:

Anonymous said...

sijui lini bongo tutasherehekea kama hivi au japo kufanana na jiji hili.

kijicho
wa kijitonyama-dar

Anonymous said...

nawapongezeni ccm marekani kazi yenu si haba kwani mmeonyesha kuwa wabunifu na pengine mnaweza kubuni mambo mengi ya kulisaidia taifa letu tanzania.
Asanste mr. chairman kwa kazi nzuri
Ayubu
Ohio

Anonymous said...

Asiyemini kwamba mambo ndio yameanza anamatatizo yake mwenyewe
kwa mwendo hii bwana michael tutafika tuu.

Anonymous said...

mwendo mdundo kama tumeweza kujenga moja tunaweza kujenga na mengine mengi tu cha msingi tujipangie wakati basi

richard
kimara baruti-dar es salaam

Anonymous said...

we ndejembi tunataka na maraja, majengo na bahari ya kwenu dodoma

Jumanne
virginia,
united state of america

Anonymous said...

habari ndo hiyo mwana, nishushie na kile kitu cha kibiti- lindi mwanangu najua mijeba itakutumia.
lete raha wana ccm mtoni

Jonas
Atlanta.

Anonymous said...

hapa mi ndo nina poishi ndugu zangu
natamani sana mabo ya hapa yangekuwa yanatokea tanzania but ndio hivyo tena


samson
mwaipopo
singapore

Anonymous said...

haya mambo si ya msingi sana kwa taifa letu la msingi kwa sasa ni maisha bora kwa maana ya kazi, shule, nyumba nzuri na usalama wa watu na mali zao.

matonya
dodoma.

Anonymous said...

keep it up boy! i know dat u know booooy!

keny
spain

Anonymous said...

Hongera Kwa Kuwa na tuvuti hii.

Mjitahidi kutafuta habari nzuri za kuingiza habari nzuri zinazoweza kueajenga watanzania vyema katika nyanja za siasa.

Kujua lipi jema na lipi baya.

Watu husikiliza maneno ya watu wa mtaani wasilo kuwa na wlimu lakini wamekaa kuilaumu serikali na mabo yake.

Iangalieni jamii ya watanzania inaujinga kasi gani unoweza futika kwa haraka.

Elimu ya siasa na utawala hasa katika chama iongezwe

Anonymous said...

Hongera Kwa Kuwa na tuvuti hii.

Mjitahidi kutafuta habari nzuri za kuingiza habari nzuri zinazoweza kueajenga watanzania vyema katika nyanja za siasa.

Kujua lipi jema na lipi baya.

Watu husikiliza maneno ya watu wa mtaani wasilo kuwa na wlimu lakini wamekaa kuilaumu serikali na mabo yake.

Iangalieni jamii ya watanzania inaujinga kasi gani unoweza futika kwa haraka.

Elimu ya siasa na utawala hasa katika chama iongezwe


Huruma Mgaya
Sinza
Dar es salaam