Monday, April 13, 2009

MUZUNGU WELCOME TO DAR ES SALAAM

Mambo yalikuwa kama hivyo pale Dar, mvua ilinyesha sana, na kulingana na miundombinu mibovu basi maji yalijaa kwenye barabara mpaka Posta hali ilikuwa si shwari.
Ukitaka uvuka barabara sharti uvue viatu.


Msomaji
Dar es salaam


No comments: