Tuesday, April 21, 2009

HIVI NDIVYO MH. MALECELA ALIVYOADHIMISHA MIAKA 75 YA KUZALIWA KWAKE.

Umekuwa mkubwa sana wewe!, unakimbilia wapi, eeeh?. ndivyo anavyoonekana kusema Mh. Kikwete wakati akisalimiwa na mjukuu wa Mh. Malecela katika hafla hiyo jijini Dar es salaam.

No comments: