Thursday, April 2, 2009

MACHINGA COMPLEX KATIKA HATUA ZA MWISHO

Machinga Complex jinsi inavyoonekana kwa karibu, sehemu hii ina eneo kubwa la kuegesha magari na kwa ujumla ni safi na ya kuvutia. Tuombe Mungu sehemu hii itunzwe vizuri isijegeuzwa kuwa kama sehemu ya kuuza mkaa (makaa).
Jengo hili la Machinga litakuwa na jumla ya vibanda 1,500 ambavyo kila kibanda kimoja kitagawiwa wamachinga 6. Pichani ni kibanda mojawapo ambacho kitamiliwa na wamachinga sita. Walio ndani ya kibanda hichi sio wamachinga bali wanaonyesha mfano wa jinsi mambo yatakavyokuwa biashara kitakapoanza.
Msomaji
Dar es salaam

No comments: