Tuesday, July 14, 2009

Waziri wa nishati na madini Mhe William Ngeleja akizindua mtambo wa kusindika gesi asilia Ubungo jijini Dar es Salaam

Waziri wa Nishati na Madini Mhe William Ngeleja (wa pili kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa mtambo wa kushindilia gesi asili uliofanyika leo huko Ubungo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo Ethur Mwakapugi na kushoto kwa waziri ni Meneja Mkuu wa PanAfrican Energy (T) Ltd Pierre Raillard.
Waziri William Ngeleja akiweka gesi katika gari wakati wa uzinduzi wa mtambo huo wa kushindilia gesi asili uliofanyika leo huko Ubungo jijini Dar es Salaam. Aliyesimama nyuma ya waziri ni Meneja Mkuu wa PanAfrican Energy (T) Ltd Pierre Raillard.
Msomaji
Dar es salaam

No comments: