Tuesday, July 7, 2009

RAIS JAKAYA KIKWETE NDANI YA SABA SABA

Rais Jakaya Kikwete akiongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete walipotembelea Maonesho ya saba saba jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mmoja wa wajasiliamali waliopo kwenye banda la shirika lisilokuwa la kiserikali linalotoa mikopo kwa wafayabiashara ndogondogo Pride Tanzania wakati alipotembelea katika banda hilo jioni hii katika maonyesho ya 33 ya biashara ya kimataifa yanayofanyika kwenye viwanja vya saba saba Kirwa jijini Dar es alaam, wa pili kutoka kulia ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na katikati ni Meneja mkuu wa Shirika la Pride Shimimana Ntuyabaliwe.


Msomaji
Dar es salaam

No comments: