Monday, July 13, 2009

M-PESA yaja Tanzania !!

Mkuu wa wa maswala ya kibiashara wa Benki ya Afrika Wasia Mushi (kulia) akiongea wakati wa hafla ya makubaliano ya ushirikiano huo baina ya Benki ya Afrika na Vodacom kuhusiana na M-pesa. Wateja wa benki ya BAO watapata huduma ya kutuma pesa na kupokea pesa kupitia simu zao za mikononi, M-PESA. kushoto ni Mkuu wa Udhamini na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza.akimsikiliza kwa makini katika hafla iliyofanyika katika ofisi za benki hiyo jijini. Mtaalamu wa M-pesa Magesa Wandwi akielezea jinsi ya huduma za M-pesa zinavyoendeshwa wakati wa uzinduzi wa ushirikiano wa kutoa huduma hiyo kati ya benki ya Afrika BOA na Vodacom , ambapo BOA wanakuwa wakala wa Kwanza wa Kampuni ya Vodacom kutoa huduma hiyo M-PESA kupitia benki yao ,(katikati)Mkuu wa udhamini na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza,na Mkuu wa maswala ya kibiashara wa Benki ya Afrika Wasia Mushi.
Mkuu wa Udhamini na mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza akipongegezana na Mkuu wa maswala ya benki ya Afrika (Head of Commercial Banking Wasia Mushi , baada yakumalizikika hafla ya makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma ya M-pesa ambapo benki hiyo itakuwa wakala mkuuwa utoaji wa huduma hiyo katikati ni Head of risk and credit Erick Ouattara.
Mkuu wa Udhamini na mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza akipongegezana na Mkuu wa maswala ya benki ya Afrika (Head of Commercial Banking Wasia Mushi , baada yakumalizikika hafla ya makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma ya M-pesa ambapo benki hiyo itakuwa wakala mkuuwa utoaji wa huduma hiyo katikati ni Head of risk and credit Erick Ouattara
Mkuu wa udhamini na mawasiliano wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza(kushoto)akiwapa maelekezo namna ya matumizi ya M-PESA. Maafisa wa Benki ya Afirika(BOA) Selemani Ponda Head of Finance , Patrick Maleo, Head of Legal and Administion na Wasia Mushi Head of Commercial Baking namna ya huduma ya M pesa inayotolewa na Vodacom mara baada ya Benki hiyo kuwa ya kwanza inchini Tanzania inayoshirikiana na Vodacom kutoa huduma hiyo.
Msomaji
Dar es salaam

No comments: