Monday, July 6, 2009

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Peter Pinda ndani ya saba saba

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Peter Pinda akisalimiana na mmoja wa wajasiliamali wanaowezeshwa kwa mikopo na shirika la Pride Tanzania, wakati alipotembelea banda lao kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na shirika hilo, katika kuwakopesha wafanya biashara ndogondogo kwenye maonyesho ya 33 ya biashara ya kimataifa yanayoendelea kwenye viwanja vya saba saba jijini Dar es alaam.

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa shirika la Prida Tanzania wakati alipotembelea banda lao tayari kwa kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na wajasiliamali wa shirika hilo, kutoka kulia ni Meneja mkuu wa shirika hilo Tanzania Bi Shimimana Ntuyabaliwe na kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya Pride Tanzania Mzee Idd Simba

Msomaji
Dar es salaam

No comments: