Thursday, December 31, 2009

RAIS JAKAYA AKITANGAZA RASMI KIFO CHA SIMBA WA VITA IKULU LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitangaza Rasmi kifo cha Mzee Rashid Mfaume Kawawa mapema leo, Rais pia ametangaza siku saba za maombolezo kwa nchi nzima na bendera zitapepea nusu mlingoti kwa muda wa siku hizo saba mipingo mingine ya Serikali inaendelea juu ya utaratibu wa mazishi na wakati wowopte itatangaza utaratibu huo.

No comments: