Friday, December 4, 2009

Jenista Mhagama Kamanda wa UVCCM Ruvuma !!
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi wa Fedha na Uchumi,Amos Makala(kulia),akimwapisha Jenista Mhagama kuwa Kamanda wa UVCCM wa Mkoa wa Ruvuma katika Uwanja wa Majimaji mjini Songea. Katikati ni Katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma,Emmanuel Mteming'ombe na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM wa mkoa huo, Benedict Ngwenya.

Msomaji
Ruvuma

No comments: