Monday, December 14, 2009

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Clement Mshana akifafanua jambo kuhusu matumizi ya Tovuti ya Wananchi katika kujibu hoja za wananchi wakati wa mafunzo ya tovuti kwenye kikao kazi cha makatibu wakuu wa wizara leo jijini Dar es salaam.
Baadhi ya makatibu wakuu wa wizara mbalimbali wakifuatilia kwa makini maelezo juu ya Tovuti ya Wananchi katika kujibu hoja mbalimbali za wananchi zinazowasilishwa serikalini wakati wa mafunzo ya tovuti kwenye kikao kazi cha makatibu wakuu wa wizara leo jijini Dar es salaam
Msomaji
Dar es salaam

No comments: