Friday, December 18, 2009

Rais Kikwete atembelea Chuo Cha wanayamapori mweka

Mwanafunzi wa Chuo cha Wanyamapori na uhifadhi, Mweka, Moshi vijijini Bi.Zawadi Mahinda akimwonesha Rais Jakaya Kikwete mbegu ya mti aina ya Msandali wakati Rais Kikwete alipokitembelea chuo hicho jana kujionea shughuli mbalimbali za masomo na tafiti zinazofanywa chuoni hapo.
Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini mwanafunzi katika chuo cha wanyamapori Mweka, Bwana Gumbo Mbelwa Mhandeni alipokuwa akitoa maelezo ya tafiti juu ya uhifadhi wa pembe za wanayama mbalimbali wakati Rais Kikwete alipokitembelela chuo hicho

Msomaji
Moshi

No comments: