Thursday, December 3, 2009

Utiaji wa Saini makubaliano kati ya Norway na Tanzania kusaidia Bonde la Mto Nile !!

Balozi wa Norway nchini John Lomy akiweka saini hati ya makubaliano ya kutoa dola za kimarekani milioni 3.4 kwa ajili ya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Singida kupitia Arusha hadi Nairobi. Kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Uendelezaji wa Bonde la mto Nile Bi. Henrietha Ndombe
Balozi wa Norway nchini John Lomy (kushoto) akibadilishana hati za makubaliano ya kutoa dola za Kimarekani milioni 3.4 na Mkurugenzi mtendaji wa Uendelezaji wa Bonde la mto Nile (NBI) Bi. Henrietha Ndombe kwa ajili ya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Singida kupitia Arusha hadi Nairobi. Makubaliano hayo yalifanyika jana jijini Dare salaam.

Msomaji
Dar es salaam

No comments: