Wednesday, December 2, 2009

MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA USHIRIKIANO WA NCHI ZINAZOTUMIA MTO NILE

Katibu mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Christopher Sayi kulia na kushoto ni Rayson Muhabuki Lake Victory Basin Water Officer.
Katibu mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Christopher Sayi akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo mchana wakati alipozungumzia maadalizi ya maadhimisho ya miaka kumi ya Bonde la Mto Nile kwa chi zote zinazoshiriki katika kuutumia mto huo ambayo yatafanyika nchini kuanzia Novemba 6-8 mwaka huu kwenye ukumbi wa Mlimani City.
Bwan Sayi amesema nchi hizo zimeichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa maadhimisho haya kwakuwa pia ndiyo ilikuwa mwanzilishi wa ushirikiano huu ambao ulizaliwa hapahapa nchini Februari 22 mwaka 1999.
Msomaji
Dar es salaam

No comments: