Friday, August 7, 2009

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WILLIAM NGELLEJA AKIFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI

Waziri wa Nishati na Madini William Ngelleja akifungua mkutano wa kwanza kwa mwaka 2009/10 wa baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) uliopo katika jengo la Water Front jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano wa kwanza kwa mwaka 2009/10 wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya Nishati na Madini uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) uliopo katika jengo la Water Front jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano wa kwanza kwa mwaka 2009/10 wa baraza la wafanyakazi wa wizara ya Nishati na Madini uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) uliopo katika jengo la Water Front jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja na waziri wa Wizara hiyo William Ngelleja (watatu kushoto) akifuatiwa na Katibu Mkuu wa wizara Athur Mwakapugi (kushoto)
Msomaji



No comments: