Wednesday, August 26, 2009

Rais Kikwete alivyoshiriki Mazishi ya Askofu Antony Mayala

Rais jakaya Kikwete akimpa pole Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Mhashamu Yuda Thadei Ruwaichi wakati wa ibada ya mazishi ya aliyekuwa askofu mkuu jimbo Katoliki la Mwanza,iliyofanyika katika makazi easmi ya askofu mkuu huko Kawekamo mjini Mwanza Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo Katoliki la Mwanza Marehemu Mhashamu Antony Mayala wakati wa ibada ya Mazishi iliyofanyika nyumbani kwake eneo la Kawekamo,Mwanza na baadaye kuzikwa katika kanisa kuu la Epifania mjini Mwanza.

Msomaji
Dar es salaam

No comments: