Monday, August 31, 2009

Uandikishaji wapiga Kura Pemba!!

Kina mama wakaazi wa Chake Chake Pemba wakionyesha fomu zao za kuzaliwa nje ya Afisi ya Mkuu wa Wilaya. Bila ya kuwa na cheti cha kuzaliwa huwezi kupata kitambulisho cha uraia.
Moja ya fomu inayojazwa kwa ajili ya kupata kitambulisho cha uraia huko Pemba.
Wakaazi wa Chakechake wakiwa katika foleni wakisubiri kujiandikisha katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Chakechake iliwawezekupewa kitambulisho cha uraia. Kitambulisho cha uraia huko Zanzibar humuwezesha mkaazi kupata kitambulisha cha kupiga kura.
Kitambulisho cha uraia kimekuwa dili huko Pemba maana ni nguzo kuu ya mwananchi huko kupata haki yake ya kupiga kura mwakani.

Msomaji
Zanzibar

No comments: