Kina mama wakaazi wa Chake Chake Pemba wakionyesha fomu zao za kuzaliwa nje ya Afisi ya Mkuu wa Wilaya. Bila ya kuwa na cheti cha kuzaliwa huwezi kupata kitambulisho cha uraia.
Moja ya fomu inayojazwa kwa ajili ya kupata kitambulisho cha uraia huko Pemba. Wakaazi wa Chakechake wakiwa katika foleni wakisubiri kujiandikisha katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Chakechake iliwawezekupewa kitambulisho cha uraia. Kitambulisho cha uraia huko Zanzibar humuwezesha mkaazi kupata kitambulisha cha kupiga kura. Kitambulisho cha uraia kimekuwa dili huko Pemba maana ni nguzo kuu ya mwananchi huko kupata haki yake ya kupiga kura mwakani.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment