Saturday, August 8, 2009

MAMA SALMA KIKWETE ALIVYOPEWA ZAWADI NA MWAKILISHI WA UNICEF

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akimshukuru Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia mambo ya watoto (UNICEF) Heimo Laakkonen mara baada ya kupewa zawadi ya kanga iliyoandikwa “Tuungane kwa ajili ya watoto”.

Laakkonen pamoja na Makamishina wenzake walitembelea ofisi za WAMA kwa ajili ya kutoa mrejesho wa shughuli ya ziara yao ya wiki moja waliyoifanya hapa nchini baada ya kupata mwaliko kutoka wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto.

Msomaji
Dar es salaam

No comments: