Thursday, August 20, 2009

NAIBU WAZIRI KIONGOZI WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR ALLY J.SHAMHUNA ATEMBELEA TSN

Naibu WaZiri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ally Juma Shamhuna akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili katika ofisi za magazeti ya Serikali TSN leo asubuhi kwa ziara fupi kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo na kulia ni Katibu mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Muungano Dr. Florens Turuka.
Naibu Waziri Kiongozi wa Saerikali ya Mapinduzi Zanzibar na waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Ally Juma Shamhuna akitoka katika ofisi za TSN mtaa wa Samora baada ya kutembelea Ofisi Hizo tayari kwa kuendelea na Ziara yake ambapo, alienda kutembelea mtambo wa kuchapia magazeti wa shirika hilo uliopo maeneo ya Tazara Jijini Dar es salaam, gazeti la DailyNews ndiyo gazeti kongwe kuliko yote nchini ambapo lilianzishwa mwaka 1972 na kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa kwa mgeni huyo na uongozi wa TSN Daily News
Naibu Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Ally Juma Shamhuna akitoka mara baada ya kutembelea ofisi za Magazeti ya Serikali.
Msomaji
Dar es salaam

No comments: