Rais Rupiah Banda kushoto katikati ni Waziri wa Nishati wa Zambia Kenneth Konga na kulia kabisa ni Naibu Waziri wa Nishati Adam Malima
Rais Rupiah alitembelea eneo la TAZAMA Pipeline huko Kigamboni ambalo hushughulika na kusafirisha mafuta ambayo hayajasafishwa kwenda Zambia.
Msomaji
Dar es salaam
1 comment:
hii inamaana kuwa Zambia wana kiwanda cha kusafisha mafuta (Oil refinery)nchini kwetu?
Post a Comment