Friday, June 12, 2009

WAZIRI BERNARD MEMBE AWASHUKURU MABALOZI

Waziri wa Mambo ya Nche na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe akiwashukuru mabalozi wanaofanya kazi hapa nchini wakati alipowaandalia chakula cha jioni katika ukumbi wa st Gasper Dodoma.
Baadhimya Mabalozi wanaofanya kazi hapa nchini wakimsikiliza Waziri wa Ushirikiano wa Mambo ya Nche na ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe wakati alipowaandalia chakula cha jioni katika ukumbi wa ST Gasper Mjini Dodoma baada ya kumaliza kusomwa kwa bajeti.
Red wine na mazungumzo yanaenda safi kabisa.

Msomaji

No comments: