Tuesday, June 9, 2009

Maandamano Makubwa yafanyika Mkoani Iringa ya kumpongeza Rais Jakaya Kikwete

Umoja wa Vijana-CCM mkoa wa Iringa wanakubali kuwa mkoa huo una imani na Rais Jakaya Kikwete na unamtaka kuendelea kuwa mgombea pekee kwa mwaka 2010 kutokana na kuonyesha uwezo mkubwa wa kiutendaji nje na ndani ya nchi
Mkuu wa mkoa wa Iringa Bw Mohamed Abdulaziz(katikati )akiwa na kamanda wa umoja wa vijana mkoa wa Iringa Salim Abri Asas(kushoto), na mwenyekiti wa umoja huo mkoani Iringa Bw Fadhil Ngajilo (Kulia).

Msomaji
Iringa

No comments: