Saturday, June 20, 2009

Kampeni zaendelea Biharamulo

Mgombea wa CCM Oscar Rwegasira Mukasa akiendeleza kampeni kwa wapiga kura katika Kijiji cha Mavota wilaya Biharamulo katika moja ya mikutano ya CCM ya kampeni kuwania kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Biharamulo Magharibi.

Msomaji
Biharamulo

No comments: