skip to main |
skip to sidebar
Kampeni zaendelea Biharamulo
Mgombea wa CCM Oscar Rwegasira Mukasa akiendeleza kampeni kwa wapiga kura katika Kijiji cha Mavota wilaya Biharamulo katika moja ya mikutano ya CCM ya kampeni kuwania kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Biharamulo Magharibi. MsomajiBiharamulo
No comments:
Post a Comment