Friday, June 12, 2009

SALAAM KUTOKA KWA MSOMAJI WETU DAR ES SALAAM

Msomaji wetu wa dar amendelea kutuma salaam kwa watanzania wote waliopo nje na ndani ya nchi na anependa kwa wote waliopo nje ya jiji la dar es salaam wajionee jii kulivo kwa sasa. Pia amehaidi kuwa ataendele na utaratibu huu wa kuwatumia picha za jiji la dar hili mkumbuke nyumbani
BONYEZA KWENYE PICHA HILI UJIONEE VIZURI
Maeneo ya akiba karibu na makitaba kuu ya taifa
Maeneo ya Victoria karibu na makumbusho
Jengo la NMB
Hotel ya peacockJengo la wizara ya viwanda biashara na masoko
jngo la benki ya stanbick pale karibu na ulipokuwepo ubarozi wa Marekani zamani
Imala seko supermarket, mbezi beach tangi bovu
Alfa house
Jengo la kitega uchumi
Bustani Jiji ni dar es salaam
CCM nchini Marekani inatoa shukrani kwa niaba ya wasomaji na watanzania wote kwa ujumla

No comments: