Wednesday, June 10, 2009

KESI ZA MAUAJI YA ALBINO ZIMEANZA KUSIKILIZWA

Wakili wa utetezi katika kesi ya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na vikongwe Bw. Feran Kweka akiongea na watuhumiwa kabla ya kuanza kwa kesi inayowakabili chini ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma Gadi Mjemas. Kikao hicho kimeaza juzi (Juni 8, 2009) mjini Shinyanga.Kesi za mauaji ya Ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ama Albino zilianza jana katika mahakama kuu za kanda ya ziwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi, Kesi hizo zinatarajiwa kusikilizwa mfululizo kwa siku 35.
Msomaji
Dar es salaam

No comments: