Saturday, June 27, 2009

MKUTANO WA KWANZA WA KIISLAMU WAFUNGULIWA UJERUMANI

Mkutano wa kwanza wa jumuia za kiislamu umefunguliwa leo na waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo bwana Wolfgang Schauble. Mkutano huo unalengo la kujadili mambo mbalimbali yanayowahusu waislamu ambao wengi wao wanaamini hawajapata uwakilishi wa kutosha katika mabo kadhaa nchi ujerumani.

No comments: