Saturday, June 27, 2009

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.JK akifunua kitambaa kuashilia uzinduzi rasmi wa Shule ya sekondari ya Sekwai iliyoko kata ya Gairo wilaya ya Kilosa akiwa katika ziara ya siku moja jimboni Gairo Mkoani Morogoro jana.

No comments: