Monday, June 8, 2009

Mama Kikwete achangia shilingi Milioni Mbili Kwaya ya Mtakatifu Kizito, Makuburi, Ubungo

Mtoto Rayness Venance(5) kutoka katika parokia ya Mwenyeheri Anwarite, Ubungo Makuburi akimkaribisha kwa Maua Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati alipowasili katika parokia hiyo kuongoza sherehe za kuadhimisha miaka ishirini(20) ya kwaya ya Mtakatifu Kizito.sherehe hizo zilifanyika jana(Jumapili) ambapo Mama Salma kupitia taasisi yake ya Wanawake na Maendeleo(WAMA) alichangia kwaya ya Mtakatifu Kizito jumla ya shilingi milioni mbili
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiagana na wanaparokia wa Mwenyeheri Anwarite,Makuburi, Ubungo bada ya kuongoza sherehe za kuadhimisha miaka ishirini tangu ilipoanzishwa Kwaya ya Mtakatifu Kizito jana jumapili mchana

Msomaji
Dar es salaam

No comments: