Tuesday, June 9, 2009

Rais Kikwete apata mwaliko wa Kutembele nchi ya Cuba

Barozi wa Cuba Nchini Tanzania Mh.Ernesto Gomezi Diaz akimkabidhi rasmi Rais Jakaya Kikwete (Ikulu jijini Dar es salaam) mwaliko wa kutembelea nchi ya Cuba. Rais Kikwete alikubali mwaliko huo na kumwahidi barozi huyo kuwa tarehe na maandalizi ya kutembelea nchi hiyo yatafanywa Mapema iwezekanavyo

Msomaji

No comments: