Thursday, March 11, 2010

WAZIRI MKUU PINDA KATIKA MKUTANO WA KILIMO NA USINDIKAJI MAZAO ABUJA NIGERIA

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa na Makamu wa Rais na Kaimu Rais wa Nigeria, Dk. Goodluck Jonathan (katikati) na kushoto ni Rais wa Sierra Leon, Ernest BaiKoroma wakisikiliza wimbo wa taifa wa Nigeria kabla ya kuanza kwa mkutano wa viongozi wakuu wa Afrika kuhusu Maendeleo ya Biashara na Usindikaji wa Mazao yaKilimo uliofanyika kwenye ukumb i wa hoteli ya Transcorp Hilton jijini Abuja
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda, Waziri wa Viwanda Biashara na Masoko, Mary Nagu (kushoto) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Seif Ali Iddi (kulia) wakitoka kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Transcorp Hilton katika jiji la Abuja baa ya kufungwa kwa mkutano wa viongozi wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Maendeleo ya Biashara na usndikaji wa mazao ya kilimo Machi 10, 2010. Mheshimiwa Pinda alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano huo.
Msomaji
Nigeria

No comments: