skip to main |
skip to sidebar
Nibu waziri Chiza azindua mradi wa kilimo cha umwagiliaji Mwangomole
Naibu Wazri wa maji na Umwagiliaji Christopher Chiza akizindua mradi wa kilimo cha Umwagiliaji wa Mwangomole, katika Kijiji cha Kwala, Kibaha mkoa wa Pwani leo ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa maadhimisho, maadhimisho hayo ya 22 ya wiki ya Maji pia yanafanyika sambamba na maonyesho kwenye viwanja vya Mwendapole.
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Christophe3r Chiza (kaundasuti) akiangalia ramani ya mradi huo (anayeamuonesha (katikati ) ni Msimamizi wa Mradi huo Mhandisi, Rogers Ishengoma.
MsomajiDar es salaam
No comments:
Post a Comment