Monday, March 8, 2010

Rais Kikwete Mgeni Rasmi Siku ya wanawake Duniani Kitaifa Mkoani Tabora

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia taifa wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi,Tabora leo mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na vikundi mbalimbali vya wanawake wa mkoa wa Tabora wakati alipotembelea mabanda ya maonesho katika viwanja vya Chipukizi mkoani Tabora leo. Umoja wa Wanawake wa UWT wakipita mbele ya Mh. Rais Jakaya Kikwete na wananchi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo mkoani Tabora.
Sehemu ya wakazi wa mji wa Tabora na mikoa mingine ya jirani waliohudhuria kilele cha sherehe ya siku ya Wanawake duniani iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora leo mchana.
Msomaji
Tabora

No comments: