Sunday, March 28, 2010

Rais Kikwete aongoza kikao cha Kamati kuu jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akingoza kikao cha Kamati kuu ya CCM ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine katika picha ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume, Katibu mkuu wa CCM Yusuf Makamba, Makamu wa CCM Bara Pius Msekwa, Rais Mstaafu awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi,Rais mstaafu awamu ya Tatu Benjamin Mkapa na Waziri kiongozi wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha.
Badhi ya wajumbe wa kamati kuu ya CCM wakiwa katika kikao ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi Chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Msomaji
Dar es salaam

No comments: