Thursday, April 22, 2010

WANAVYUO DODOMA WAJIUNGA NA JUMUIYA YA WAZAZI YA CCM

Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi nchini balozi Athmani Mhina akimkaribisha makamu wa Rais Dk Ali Mohamed shein katika ukumbi wa CCM Makao Makuu mjini Dodoma ambapo Dk Shein alifungua mkutano Mkuu maalum wa Jumuia ya wazazi leo.
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo wakati akifungua mkutano mkuu maalum wa baraza la jumuia ya wazazi mjini Dodoma leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi balozi Athumani Mhina na Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuia hiyo Dogo Idd Mbarouk.
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo wakati akifungua mkutano mkuu maalum wa baraza la jumuia ya wazazi mjini Dodoma leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya wazazi balozi Athumani Mhina na Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuia hiyo Dogo Idd Mbarouk.

Msomaji
Dodoma

No comments: