Friday, April 9, 2010

Rais Jakaya Mrisho Kikwete aongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa, wenyeviti na makatibu wa CCM wa wilaya

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua kikao cha pamoja cha wajumbe wa Halmashauri kuu ya taifa, wenyeviti na makatibu wa CCM wa wilaya uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam leo asubuhi Baadhi ya wajumbe walioudhulia katika kikao cha pamoja cha wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa, wenyeviti na makatibu wa CCM wilaya

Msomaji
Dar es salaam

No comments: