Friday, April 23, 2010

Matukio Bungeni Dodoma Leo

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Kulia akizungumza na Mbunge wa Kwela mkoani Rukwa Christant Mzindakaya leo katika vikao vya Bungeni vinavyoendelea mjini Dodoma.
Kiongozi wa Upinzani Bungeni (kushoto) Hamad Rashid akiongea na Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Bernald Membe ambaye pia ni mbunge wa jimbo la (Mtama) na Basil Mramba Mbunge wa jimbo la (Rombo).
Mbunge wa Kinondoni (kushoto) Idd Azzan akibadilishana mawazo na mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Halima Mdee .

Msomaji
Dodoma

No comments: