Sunday, February 15, 2009

NDUGU WANAJUMUIA
UONGOZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
TAWI LA MAREKANI
UMEPOKEA KWA MASIKITIKO MAKUBWA KIFO CHA MAMA MZAZI
WA MIRAJI MALEWA KILICHOTOKEA MAPEMA IJUMAA
NYUMBANI TANZANIA.
UONGOZI, KWA NIABA YA WANACHAMA UNAPENDA KUUNGANA
NA WATANZANIA KATIKA KUMFARIJI NDUGU YETU
BWANA MIRAJI MALEWA AMBAYE PIA NI KATIBU MKUU WA
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)- MAREKANI.
UONGOZI UNATAMBUA KWAMBA HIKI NI KIPINDI KIGUMU
SANA KWAKE NA FAMILIA YAKE NA HIVYO UNATOA POLE NA
MWITO KWA WANACHAMA KUMFARIJI
KWA HALI NA MALI BWANA MIRAJI NA FAMILIA YAKE.
KUWASILIANA NA MIRAJI:
832 741 4452 cell phone
281 575 6887 home phone
KATIBU MWENEZI BI. ZAINAB JANGUO
ATAPOKEA NA KUWASILISHA
SALAMU ZA RAMBI RAMBI KWA NIABA
YA CHAMA.
KUWASILIANA NA ZAINAB
JANGUO: 832 206 6277 cell phone.
michael ndejembi
M/kiti.

Saturday, February 14, 2009

Chinese president kicks off state visit to Tanzania

Chinese President Hu Jintao (L, front) is greeted by Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete upon his arrival at the airport in Dar es Salaam, Tanzania, Feb. 14, 2009. Hu arrived here on Saturday night for a state visit to Tanzania.
Chinese President Hu Jintao (2nd R, front), who is greeted by Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete (1st R, front), shakes hands with a child upon his arrival at the airport in Dar es Salaam, Tanzania, Feb. 14, 2009. Hu arrived here on Saturday night for a state visit to Tanzania.
Chinese President Hu Jintao (R, front) is greeted upon his arrival at the airport in Dar es Salaam, Tanzania, Feb. 14, 2009. Hu arrived here on Saturday night for a state visit to Tanzania.
This is Hu's second African tour since the Beijing Summit of the Forum on China-Africa Cooperation in 2006 when he announced eight policy measures to promote ties with Africa, including massive tariff cuts and debt exemptions for scores of African countries, and doubling aid to Africa over a three-year period.
Msomaji
Dar es salaam

Friday, February 13, 2009

Naomba kueleza yale yanayo fanya watu wazidi kupata ugumu katika maisha ni pamoja na mazingira yetu tunayo ishi, sio hili eneo tuu! ambalo linaonekana kama hivi jamani kwanini tusijitahidi kuondoa udhia huu, kwa kudumisha sera nzima ya usafi sio Downtown tu, mpaka anapoishi jirani yangu.......

Shaibu Said
Houston
Texas.

Chinese President Hu Visits Tanzania Bearing Gifts, Friendship

President Hu Jintao arrives in Tanzania tomorrow bearing gifts and offering hope that his country can help the southern African nation weather the global financial crisis.

Hu, currently on a four-nation African tour that includes stops in Mali, Senegal and Mauritius, is scheduled to officially open a Chinese-funded $60 million sports stadium, which seats 60,000, in Dar es Salaam, and break ground on a $25 million conference center named after Tanzania’s first president, Julius Nyerere.

Tanzania is looking to China for help to spur economic growth amid the global crisis. Central Bank Governor Benno Ndulu has said spending cuts may be needed because of pressure on foreign aid, which covered 34 percent of the 7.22 trillion shilling ($5.5 billion) budget this year. China’s trade with Tanzania rose 30 percent in 2007 to $688 million.

“Increasing trade with China provides us a degree of freedom,” Humphrey Moshi, an economics professor at the University of Dar es Salaam, said in an interview yesterday. “It’s come to the time when our budget is difficult to meet, so we can use this chance to see how we can fill in the gaps with Chinese help.”

China’s trade with Africa jumped 10-fold to $106.8 billion last year from just over $10 billion in 2000, according to China’s Ministry of Commerce. Its African investments have focused on oil, such as in Angola, the continent’s top supplier of crude to China, and Sudan, and minerals in Congo and Zambia.
Tazara Railroad

Economic cooperation with Tanzania dates back to the early 1970s when China built the $500 million Tazara railroad that runs 1,860 kilometers (1,162 miles) from Zambia’s northern copper-belt region to the port of Dar es Salaam. Chinese aid also supported a textile factory that helped start a once-thriving industry now under pressure to compete with cheap garment imports from southeast Asia and a growing second-hand clothing market.

“We are very thankful to the Chinese government,” Foreign Minister Bernard Membe told reporters in Dar es Salaam Feb. 9. “It’s a bilateral relationship of two friends since the 1960s.”
China, sixth on the list of foreign investors in Tanzania that is topped by the U.K. and India, made 174 investment deals ranging from telecommunications and tourism to road-building worth $450 million from 1990 to 2006, according to Tanzania’s ministry of industry and trade.

Tanzania may seek Chinese help in rescuing two state-run assets. A Chinese company based in Hong Kong, China Sonangol International, is in talks to acquire a 49 percent stake in debt- saddled national carrier, Air Tanzania, which stopped flying for a month in December, the Deputy Minister of Infrastructure Development, Hezekiah Chibulunje told parliament Feb. 4.

Tanzania and Zambia are considering a proposal to privatize the Tazara railway, and if they agree on it, Chinese investors will be the preferred bidder, Tazara’s Acting Deputy Managing Director, Damas Ndumbaro, said in an interview in Dar es Salaam on Feb. 10.

“We are giving priority to the Chinese because they made the sacrifices,” he said.
For Tanzania, trade with China remains unbalanced, Moshi said. Its main exports to China include dry seafood, raw leather, logs, coarse copper and wooden handcrafts, according to the Web site of China’s foreign ministry.

“We are sending raw materials to China, not value added goods,” Moshi said.
Timber

China is a top importer of Tanzania’s timber, a state- regulated trade plagued by corruption, poor management, and illegal logging, Traffic, a Cambridge, U.K.-based conservation group, said in a May 2007 report. China imported 10 times more timber than Tanzania’s export records document over the 2004-2005 period, suggesting a 90 percent loss of revenue, the report said.

Roughly 20 percent of merchandise circulating in Tanzania is counterfeit or pirated, with many of these goods such as clothes, mobile phones and spare car parts manufactured in China, according to an April 2008 study by the Confederation of Tanzania Industries.

Efforts to bring Chinese investors into Tanzania’s western Kigoma region were frustrated by differences in language and the vast geographical distance, Joseph Simbakalia, the regional commissioner, said on Feb. 10.

“We need better cultural familiarity with China, like we share with our traditional trade partners in Europe and the United States,” Simbakalia said in an interview from the regional capital, Dodoma.

Msomaji
Dar es salaam

Wednesday, February 11, 2009

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi na baadhi ya wanachama wa Maalbino Tanzania alipomtembelea Bungeni mjini Dodoma. Viongozi walifika bungeni kumpongeza Mh. Pinda kwa kuwa mstari wa mbele katika kusimamia vita dhidi ya wanaopoteza maisha ya Maalbino nchini Tanzania.

Msomaji.
Rais JK Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi, wachezaji na wafadhili wa timu ya taifa (Taifa stars) walipowaalika kwenye chakula cha mchana kilichoandaliwa na Mh. JK.
Msomaji,
Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi tawi la London akiwaongoza wanachama wa tawi hilo kuimba wimbo wa chama chetu cha-mapi~nduzi cha jenga nchi!
Bi. Vick Kamata ambae amejizolea umaarufu mkubwa kwa uimbaji wa nyimbo za injili nae alikuwepo katika maadhimisho hayo ya miaka 32 ya CCM-London.


Mmoja ya wasanii kutoka Tanzania bw. Frank Mfalila akitoa burudani kabambe kabisa katika shughuli za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tawi la Londoni jumamosi iliyopita Jiji London.

Monday, February 9, 2009

Tanzania port prepares to handle cargo for region


The number of containers transiting Tanzania is expected to climb by as much as 1,200 percent in the next 20 years, requiring a huge increase in handling capacity, the national audit office said last week.

Tanzania’s main port in the commercial capital Dar es Salaam processed more than 350,000 20-foot equivalent units (TEUs) last year, well over the 250,000 TEUs it was designed for.

The government plans two new ports on the Indian Ocean coast to feed growing economic activity at home, as well as landlocked neighbours Zambia, Burundi, Malawi, Rwanda and Uganda.

“There is need to plan for handling future volumes, projected to grow to between 2.483 million and 4.717 million TEU per annum by the year 2028,” the National Audit Office said.

An inefficient rail service, which currently handles only 10 percent of cargo from Dar es Salaam port, has also lengthened transit times, meaning most containers end up using expensive road transport, it said in a report.

In a addition to the two new ports planned at Bagamoyo and Tanga, the government says it will expand an existing port in Tanga and another in Mtwara in the southeast of the country.

Msomaji
Dar es salaam

Saturday, February 7, 2009

Polls: JK cautions CCM on Opposition


President Jakaya Kikwete, who is also the national chairman of Chama Cha Mapinduzi (CCM), yesterday cautioned the party's MPs against complacency.

Speaking during the 32nd CCM anniversary celebrations, President Kikwete warned that if the MPs would not tread carefully, they risked losing their seats to the Opposition in next year's General Election.

He was commenting on claims by several CCM regional leaders that some of the MPs had never visited their constituencies since they were elected in 2005.

The President reminded the politicians that they were not elected to pursue their own interests, but to effectively represent their constituents in the National Assembly.

He said he planned to meet the ruling party's MPs in Dodoma later in the year to strategise on how CCM could secure another landslide victory in the coming General Election.

He would also take to task the MPs accused by the regional leaders of having abandoned their constituencies. Explaining the progress made in implementing the promises in the party's previous election manifestoes, the President challenged the CCM leaders to consolidate those gains before the next poll.

He cited the Sh250 billion project to pump water from Lake Victoria to Shinyanga municipality, Kahama town and villages, as one of the biggest achievements. Mr Kikwete directed the Water and Irrigation ministry to reduce connection fees for potential consumers by 50 per cent. The

CCM national anniversary celebrations were held at Kambarage Stadium in the municipality.In Zanzibar, Vice-President Ali Mohammed Shein said the implementation of CCM�s election manifesto was proof of the party�s commitment to serve the nation. Dr Shein was addressing party supporters who staged a procession to mark its 32nd anniversary.

Speaking at the CCM offices in Urban West in Unguja, Dr Shein appealed to Tanzanians to be proud of the progress so far achieved.The Vice-President also appealed to CCM members to make use of the celebrations to reflect on their own contributions to the development efforts.

In Dodoma, Prime Minister Mizengo Pinda said CCM had implemented its election manifesto pledges, exceeding the targets it had set. Speaking at Kikombo village, 40km east of Dodoma municipality, Mr Pinda cited the provision of education, health, and water and the building of infrastructure, especially roads.

"Though our colleagues in the Opposition have been criticising we have recorded tremendous achievements," he said.From Singida, Correspondent Awila Silla reports that Speaker of the National Assembly Samuel Sitta advised the opposition parties to merge and form one strong party if they hoped to unseat the CCM.

Addressing hundreds of supporters at the CCM regional headquarters grounds, Mr Sitta said the new party should have appealing policies for it to win majority support.

He said the needless bickering among the opposition leaders scared away potential supporters. He said there was no need to have many political parties. Mr Sitta said: "But even if they unite under one party now, they will still not be a threat to CCM, which still has a strong base formed by its founders.

" In Karatu, Mussa Juna reports that the NCCR-Mageuzi district secretary, Mr John Bura Dodo, was among 469 people who joined CCM on Friday.

Mr Dodo joined the party during 32nd CCM anniversary celebrations officiated at by Arusha regional chairman Onesmo Ole Nangole.

Speaking after receiving his CCM card, Mr Dodo said he was fed up with "dictatorship within NCCR-Mageuzi", hence his decision to return to the ruling party.

Mr Dodo failed to unseat NCCR-Mageuzi national chairman James Mbatia in the party�s recent elections. Mr Nangole said: "We need to forge a strong unit to recover the constituency from the opposition."Chadema Secretary-General Willibrod Slaa holds the seat.

Msomaji
Shinyanga

Thursday, February 5, 2009

TANZANIA TO SELLS 49 PCT OF AIRLINE TO CHINESE FIRM


DAR ES SALAAM,
Tanzania plans to sell a 49 percent stake in its state-run Air Tanzania to a Chinese firm that will help it buy nine planes, a senior government official said on Wednesday.

The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) suspended the carrier's operating license in December, but the firm has since resumed operations.

"The government has ... found a private investor ready to enter an agreement with Air Tanzania by buying a 49 percent shareholding," said Hezekiah Chibulunje, deputy minister for Infrastructure Development.

He told parliament that the investor, China Sonangol International, was willing to help with the purchase of more aircraft.

"It has agreed to help the government to look for funds to implement Air Tanzania's investment strategy that involves buying nine planes ... for domestic and international flights."

Since establishment in 1977, the airline has made operating profit in one or two years only and was unable to meet its direct operating costs for the whole of 2008, according to documents from the government's audit office.

It is the second time Tanzania has sought a partner for the loss-making carrier. In 2006, South African Airways [SAA.UL] gave up a 49 percent stake in the airline for $20 million after only five years of being a shareholder.

Established in 2004, Sonangol is largely involved in exploration for oil, gas and minerals, crude oil trading and large-scale national reconstruction projects.
In Africa, it has a stake in Angola's Sonair airline.The government audit office said earlier this year that Sonangol signed a nonbinding memorandum of understanding allowing it to give the Tanzanian carrier $21 million for planes.

The government's announcement comes ahead of a visit by Chinese President Hu Jintao to Tanzania later this month.

By:
George Obulutsa,
Feb 4 (Reuters) ,
Rais JK Kikwete akizungumza na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma leo mjini Dodoma. Rais pamoja na viongozi karibu wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali wamekuwa karibu mno na wanafunzi wa vyuo vikuu licha ya licha ya lawama toka kwa baadhi ya watu kwamba serikali hiyo haiwathamini wanafunzi wa vyuo vikuu. hivi karibuni waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda alikuwa chuoni hapo kuzungumza na wanafunzi, viongozi pamoja na wafanyakazi wa chuo kikuu hicho cha Dodoma.

Msomaji,
Tanzania.
CHAMA CHA MAPINDUZI
TAWI LA MAREKANI
Linapenda kuwakaribisha Wanachama,
Wakereketwa na Watanzania wote popote pale mlipo
katika sherehe za kuadhimisha miaka Thelathini na Mbili ya
kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Zitakazofanyika Houston - Texas,
siku ya Jumamosi tarehe 07 mwezi wa 02 saa Mbili kamili usiku,
katika ukumbi wa Safari.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na;
Zainab Janguo: 832 206 6277
Miraji Malewa: 832 741 4452
Michael Ndejembi. 713 384 4567.
Wote mnakaribishwa: Vinywaji, Vyakula na muziki bure!
Zainab Janguo,
Katibu Mwenezi,
CCM-Marekani.

Wednesday, February 4, 2009


Ni kweli kwamba hii ndio tafsiri halisi ya kiongozi?

Msomaji.

Rais JK Kikwete akizungumza na waandishi wa habari muda mchache baada kurejea toka Addis Ababa, Ethiopia. Rais alikuwa huko kuhudhulia mkutano wa kawaida wa umoja wa Afrika AU.

Msomaji,
Tanzania.

JK AMUWEKEA NGUMU MUAMMAR GADAFFI

Addis Ababa, Ethiopia.

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumanne, Februari 3, 2009, alizima jaribio la kubadilisha msimamo wa Umoja wa Afrika kuhusu mapinduzi ya kijeshi katika Afrika, akisisitiza kuwa kamwe hakuna mapinduzi yoyote ya kijeshi mazuri duniani.

Katika mchango wake uliokatishwa zaidi ya mara nne kwa makofi na mamia ya wajumbe waliofurika katika Ukumbi wa UNCC-ECA mjini Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria Mkutano wa 12 wa Kawaida wa Umoja wa Afrika (AU), Rais aliwaomba viongozi wenzake wa nchi za Afrika kuwa wakweli katika kujadili masuala muhimu ya maendeleo na ustawi wa Afrika.

Rais Kikwete aliungwa mkono katika hoja yake na baadhi ya viongozi waandamizi wa Afrika akiwamo Rais Idriss Deby wa Chad, Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda, na Waziri Mkuu wa Ethopia, Zenawi Meles na hivyo kukatisha mjadala huo.

Rais Kikwete aliingilia kati kuzima jaribio hilo baada ya Mwenyekiti mpya wa AU, Kanali Muammar Gaddafi wa Libya, akiungwa mkono na Rais wa Senegal, Abdoulaye Wade kuwasilisha pendekezo kwenye mkutano huo wa kuzirejeshea tena uanachama nchi za Mauritania na Guinea, ambazo zimesimamishwa kwa sababu ya mapinduzi ya kijeshi.

Katika mchango wake, Rais Wade alisema kuwa mapinduzi hasa ya Guinea ni tofauti na mapinduzi mengine ya kijeshi, na kuwa utawala wa kijeshi wa nchi hiyo unaungwa mkono na wananchi.

Rais Wade alitoa uzoefu wake kuhusu utawala huo wa Guinea baada ya kuwa ametembelea nchi hiyo na kudai kuwa aliona jinsi wananchi wa nchi hiyo walivyozitokeza kwa wingi mitaani kumpokea na kuonyesha kuunga mkono utawala huo mpya.

Majeshi katika nchi hizo mbili yalitwaa madaraka katika Guinea na Mauritania mwaka uliopita wakati wa uenyekiti wa Rais Kikwete, ambaye mara moja aliamuru nchi hizo mbili kusimamisha uanachama wa AU kwa mujibu wa maamuzi ya viongozi wa nchi wanachama wa AU.

“Nawaombeni wenzangu tuwe wakweli katika kujadili mambo haya. Ni rahisi sana kwa jeshi kuwapanga watu mitaani na wakashangilia. Na hilo haliwezi kuwa msingi wa kubadilisha uamuzi wa msingi kabisa wa Umoja huu,” alisema Rais Kikwete na kuongeza:

“Unaweza kufanya lolote ukiwa na bunduki, na niamini mimi kwa sababu nilipata kuwa jeshini. Chini ya utawala wa kijeshi, unaweza hata kuitisha kura ya maoni na kupata asilimia 99,9. Ndugu zangu hebu tuheshimu misingi mikuu ya Umoja wetu kama tulivyokubaliana.

”“Hakuna mapinduzi mazuri ya kijeshi, na lazima tukomeshe utamaduni wa mapinduzi ya kijeshi. Tusirudi nyuma katika miaka ile ya 1960 na 1970. Mtu anayetaka kuwa rais anatakiwa aingie katika siasa na kuomba ridhaa ya wananchi,” alisema, akisisitiza:

“Kama unataka kuwa Rais, unajiuzulu kutoka jeshini.. kama mimi nilivyofanya tena nikiwa na umri mdogo na sasa nimekuwa Rais. Isitoshe, hawa ni watu wanaosema kuwa watakuwa madaraka kwa muda mfupi…lakini angalia yule Lassana Conte wa Guinea aliahidi miaka miwili, akaishia akishikilia madaraka kwa miaka 24.

”Rais Kikwete, kwa hisia na ufasaha mkubwa alielezea historia ya mapinduzi katika Afrika, akitoa mifano ya karibuni zaidi ya mapinduzi katika nchi za Ivory Coast, Guinea, Madagascar na Mauritania. Mwishoni mwa mjadala hata Rais Gaddafi alibadilisha msimamo na kuunga mkono msimamo wa Rais Kikwete na wenzake.

Rais Kikwete aliungwa mkono mara moja na Rais Deby wa Chad ambaye aliwaambia viongozi wenzake: “Kama alivyosema Rais Kikwete, hakuna mapinduzi ya kijeshi mazuri. Tunapoteza muda tu kujadili jambo hilo ambalo tulikwishakulichukua uamuzi….tuache kuzungumzia suala hili, tunapoteza muda tu…

”Naye Rais Museveni alisema kuwa kazi ya jeshi ni kulinda amani ya nchi. “Sasa hawa badala ya kulinda amani ambao ndio wajibu wao wanajaribu kutawala nchi. Hakuna mapinduzi ya kijeshi mazuri na hayajawahi kutokea katika historia. Mapinduzi ya kijeshi ni jam bo lisilokuwa na maana. Ni jambo lisilokuwa na thamani.

”Alisisitiza: “Tokea mwaka 1963, tumekuwa na watu hawa wa kustajabisha…akina Idi Amin. Tutauua Umoja huu kwa mawazo na mijadala ya ovyo na ajabu kama hii. Tuyakatae mapinduzi katika Afrika…na kwenye hili tuko tayari kutofautiana. Hatuwezi kamwe kuzikubali Guinea na Mauritania kurudisha wanachama mpaka zitimize masharti.

”Museveni alisema kuwa yeye ana uzoefu wa kutosha wa kuendesha Serikali zote mbili, ya kijeshi na iliyoingia madarakani kwa kuchaguliwa na wananchi.

“Niamini mimi. Nimekuwa hata mpiganaji wa misituni (rebel). Lakini mchakato wa uchaguzi ni mzuri, unawalazimisha viongozi kufanya kazi. Lakini watu kama Gaddafi wanaukejeli…Ni muhimu kuwapo uchaguzi. Mimi nimeongoza serikali zote mbili, ya kijeshi na isiyokuwa ya kijeshi, najua ninachokisema,” alisisitiza Rais Museveni.

Naye Waziri Mkuu Meles alisema: “Pengine masuala haya ni muhimu lakini siyo ya lazima. Sisi ni viongozi tuache kushinda tunazunguka tu kuhusu hoja zisizokuwa na msingi na kuhusu suala ambalo tayari limeamuliwa. Tuwe na ajenda, vinginevyo tutakuwa sawa na wasusi wa nywele wa jadi katika Ethiopia, ambao kwa sababu wana muda tokea asubuhi hadi jioni, na kwa sababu hawana ajenda, huzungumzia jambo lolote linaloingia kichwani.

”“Hii ni mikutano ya kuzungumzia mambo muhimu na ya maana. Siyo nafasi ya kuja na kupiga picha kwa baadhi ya viongozi,” alisema Meles.

Msomaji,
Tanzania.

Monday, February 2, 2009

Recent U.S. Ambassador to Tanzania Mark Green Named Managing Director of Malaria No More Policy Center

Mark Green, recent U.S. Ambassador to the United Republic of Tanzania, joins Malaria No More as the new Managing Director of the Malaria No More Policy Center in Washington, DC, the non-profit organization announced today. Green brings unparalleled experience and insight into the fight against malaria in Africa to his new role at the Policy Center, where he will shape Malaria No More's advocacy work to engage policymakers in the race to save lives from this preventable and treatable disease.

During Green's tenure as Ambassador to Tanzania, the East African nation celebrated the first-ever official visit by a sitting U.S. president, a dramatic reduction in malaria incidence and deaths on the Islands of Zanzibar and the launch of a nationwide campaign to distribute mosquito nets to all children under five. Green has worked closely with President Kikwete and the Tanzanian National Malaria Control Program, as well as U.S. organizations like USAID and the President's Malaria Initiative, to address the malaria crisis in Tanzania.

"We are thrilled that Mark is bringing his energy and expertise to the Malaria No More Policy Center," said Peter Chernin, Chairman of Malaria No More. "His intimate, behind-the-scenes knowledge of both Washington and Tanzania give the Policy Center a unique perspective on how policymakers can help wipe out the scourge of malaria in Africa. Mark is a key addition to the stellar team that our CEO, Scott Case, is building to help support global efforts to end malaria deaths."

In a statement, U.S. Senator Russ Feingold said, "I congratulate Ambassador Green on his new position, and I am confident that the Malaria No More Policy Center will benefit greatly from Mark's wealth of experience. Mark's commitment to the elimination of malaria is well established and the strong leadership and dedication he has shown on this issue are exactly what is needed if we are to be successful in preventing malaria from taking any more lives."

Green has a long record of public service and international policy, serving as a four-term Congressman from Wisconsin and as an active member of the House International Relations Committee through his work on the subcommittees for Africa and human rights and his help in crafting the U.S. Leadership Against HIV/AIDS, Tuberculosis and Malaria Act of 2003. Additionally, Green has traveled to West Africa with international organizations including the Academy for Educational Development, Oxfam and Save the Children to work on programs related to women's health and education in Africa and served as an election observer in Kenya in 2005.

"I look forward to working with Malaria No More and its partners to fight this disease and bring hope to the millions of families in Africa who battle it every day," said Mr. Green. "I have seen first-hand how U.S. assistance to fight malaria in Africa has changed lives and improved livelihoods. I will work to ensure that the Malaria No More Policy Center takes every opportunity to raise awareness and help build support for efforts to eliminate this devastating disease."

Malaria No More is determined to end malaria deaths. A non-profit, non-governmental organization, Malaria No More makes high-yield investments of time and capital to speed progress, unlock resources, mobilize new assets and spur the world toward reaching this goal. http://www.malarianomore.org/

Website: http://www.malarianomore.org/

Sunday, February 1, 2009

Tanzania witnesses more divorce cases

DAR ES SALAAM, -- The number of divorce cases in Tanzania has increased in the past two years after a decline between 2005 and 2006, a local newspaper reported on Sunday quoting statistics from the Tanzanian Registration, Insolvency and Trusteeship Agency.

Reported in its Sunday News edition that the Registration, Insolvency and Trusteeship Agency had recorded 43 divorce cases for 2007 and 2008, whereas the divorce cases registered with the same agency between 2006 and 2007 were 37.

The agency data as showing that the period between 2005 and 2006 had witnessed the lowest divorce rate in the country since its inception of recording divorce cases in 1994.

The 2005/2006 period posted 28 divorces while the period between 2001 and 2002 saw the highest number of divorce cases with 54.

Tanzania has registered 405 divorces in the past decade but statisticians doubt that most divorces might have gone unregistered.

By
Shav

TRL to increase train fares by 11.6% in Tanzania

The Tanzania Railways Limited (TRL) has announced that starting from February 15 it will increase train fares by 11.6 percent for all its services across the country.
The TRL, a joint venture between India's RITES group and the Tanzanian government, announced the train fare hike through a statement.
Passengers travelling from Dar es Salaam to Mwanza in the northwest of the country will have to part with 59,800 Tanzanian shillings (47.8 U.S. dollars) for the 1,500-kilometer rail travel, the dearest train fare within the TRL routes.
The RITES group holds 51 percent of the TRL company while the government of Tanzania holds the remainder.
The Indian consortium entered the joint venture through a 25-year lease.