Thursday, September 3, 2009

KATIBU MKUU JINSIA NA WATOTO AKIKABIDHI BENKI YA WANAWAKE GARI

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bibi Mariam Mwaffisi (kulia) akimkabidhi funguo za gari Mkurugenzi wa Tanzania Women's Bank Bibi, Magreth Chacha (Kushoto) . Gari hiyo imekabidhiwa kwa ajili ya shughuli za Benki hiyo inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho tarehe 4 Septemba,2009, saa 3:00 na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete .

Msomaji
Dar es salaam

No comments: