Tuesday, September 15, 2009

Baba wa taifa, Mwalimu. Nyerere Atunukiwa Tuzo ya 'World Hero of Social Justice'

Rais wa baraza kuu la 63 la Umoja wa mataifa,father Miguel d'Escoto Brockman,akitoa maelezo kwa Mama Maria Nyerere kuhusu tuzo ya 'World Hero of Social Justice' ambayo rais huyo amemtunuku kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius K.Nyerere katika hafla iliyofanyika jijini New York,Marekani na kuhudhuriwa na mabalozi mbalimbali kutoka nchi za Afrika na mabara mengine wanaoziwakilisha nchi zao katika umoja wa mataifa.Picha zote kwa Hisani ya Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa.
Mabalozi wa wanaoiwakilisha Tanzania nchini Marekani, Brazil na Umoja wa mataifa nao walikuwapo kumpa Tafu Mama katika hafla hiyo kutoka kulia Joram Biswalo(Brazil)Omben Sefue( Washngton )Tuvako Manongi(ofisi ya Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa)na mwenyeji wao Augustine Mahiga (Umoja wa Mataifa) katika picha ya pamoja na Mama Maria Nyerere

Msomaji
U S A

No comments: