Saturday, June 5, 2010

MWAKILISHI WA ADB NA KIKWETE IKULU

Mwakilishi wa benk ya maendeleo ya Afrika Dr.Sipho Moyo amekutana na rais Kikwete leo Ikulu Jijini Dar es salaam kwa lengo la kumuaga. Dr. Sipho Moyo amemaliza muda wake wa kufanya kazi kama mwakilishi wa benk hiyo nchini Tanzania.

No comments: