Sunday, June 6, 2010

KARUME AFUNGUA MKUTANO WA ZNCCIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume, akifungua Mkutano Mkuu wa mwaka Zanzibar National Chamber of Commerce Industries and Agriculture (ZNCCIA) katika Ukumbi wa Salama Hotel Bwawani, ambapo mkutano huo utakuwa na Uchaguzi wa kumpata Rais mpya wa Jumuiya hiyo. Kulia ni Rais wa Jumuiya hiyo anayemaliza muda wake, Abdallah Abass na (kushoto) ni Waziri wa Biashara,Uwekezaji na Utalii, Mh. Samia Suluhu Hassan.
Picha na Ramadhan Othman wa Ikulu, Zanzibar.

No comments: