Sunday, June 6, 2010

MH. RAIS KIKWETE AMTEMBELEA JENERAL MSTAAFU.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya M.Kikwete jana alimtembelea mkuu wa majeshi na Jeneral mstaafu E. Mwita Kiaro aliyelazwa katika hospital ya Bugando Jijini jana. Mh rais yuko katika ziara ya siku mbili jijini humo kukagua shughuli mbali mbali za maendeleo.

No comments: