Saturday, November 26, 2011

Safu ya Uongozi wa CCM Tawi la Marekani

Kufuatia matokeo uchaguzi uliofanyika hivi karibuni, Chama Cha Mapinduzi Tawi la Marekani lilipata viongOzi wake wapya kama ifuatavyo:

Mwenyekiti wa Tawi
Ndg. Simon Makangula

Wajumbe wa Halmashauri ya tawi:
Ndg. Amina Lesso
Ndg. Frank Mutafungwa
Ndg. Abdallah Nyangasa
Ndg. Gasper Assenga
Ndg. Isaac Kitogo
Ndg. Caccius Pambamaji
Ndg. Misso Temu
Ndg. Mzee Khalfan
Ndg. Azrat Temu


Aidha Halmashauri ya Tawi ilipokea mapendekezo ya uteuzi wajumbe wa sekretarieti ya halmashauri ya tawi na kufanya uteuzi kama ifuatavyo:

Katibu wa Tawi:
Ndg. Abdallah Nyangasa

Katibu Itikadi na Uenezi:
Ndg. Cassius Pambamaji

Katibu Fedha na Uchumi:
Ndg. Misso Temu

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

No comments: