Haya ni majengo ya BOT, tumepokea email toka kwa mmoja wa wasomaji wetu akiomba yeyote anaejua haya majengo yanafanana na majengo gani duniani amjulishe kupitia matandao huu, ili kuondoa ubishi kati yake na wenzake.
Msomaji.
5 comments:
Anonymous
said...
Ni kweli haya majengo yanafanana na majengo flani ya yapo hapa Napoli, ngoja nitakutumia picha soon. pia hongera ccm-usa mtandao wenu nimeupenda sana!
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
5 comments:
Ni kweli haya majengo yanafanana na majengo flani ya yapo hapa Napoli, ngoja nitakutumia picha soon. pia hongera ccm-usa mtandao wenu nimeupenda sana!
Goodluck-Itali
haya majengo mbona yapo kila sehemu tu kwani ni yakutafutaa?
Mafisadi kumbe ni wabunifu, walijenga majengo haya malefu hili kuwazuga watanzania wasigundue kama pesa zao zinaibiwa.
Yana fanana sana na majengo ya fisadi aliyejitoa kizimbani hivi karibuni
Yule fisadi aliyewekeza huku Japan naye majengo yake yako hivi hivi labda michoro yake ilicholwa na mtu mmoja.
Jane
Tokyo
Post a Comment